Tatizo la form yangu ya mkopo !

Tatizo la form yangu ya mkopo !

Birth cerfitificate au kitambulisho cha NIDA ?
Hivi kwenye application form kuna mahali popote ambapo mwombaji (applicant) alitakiwa kuambatisha kitambulisho chake? kiwe cha Kura au NIDA nk? Soma fomu yako vizuri. Taarifa binafsi za mwombaji (applicants personal details). Hata kwenye viambatisho ilitakiwa birth certificate (ya mwombaji) na ID ya mdhamini.!
Kwa hiyo sula la ID yako halihusiki na tatizo lako. Mimi nimekushauri uchunguze majina kwenye birth certificate na veti vya elimu. Labda unijibu hilo!
 
Kitambulisho kinachotambulika na serikali (Mpiga kura, National ID, leseni) Una scan photocopy yenye pande zote mbili ambayo imesainiwa na kugongwa muhuri mahakani
Aplicant (mwombaji) hakuna anakotakiwa ku-upload vitu hivyo labda vya mdhamini tu. Utambulisho wa mwombaji ni Namba zake za mtihani na Birth certificate (rejea TAARIFA BINAFSI ZA MWOMBAJI) Majina lazima yafanane, kama si hivyo lazima kuapa mahakamani
 
Hivi kwenye application form kuna mahali popote ambapo mwombaji (applicant) alitakiwa kuambatisha kitambulisho chake? kiwe cha Kura au NIDA nk? Soma fomu yako vizuri. Taarifa binafsi za mwombaji (applicants personal details). Hata kwenye viambatisho ilitakiwa birth certificate (ya mwombaji) na ID ya mdhamini.!
Kwa hiyo sula la ID yako halihusiki na tatizo lako. Mimi nimekushauri uchunguze majina kwenye birth certificate na veti vya elimu. Labda unijibu hilo!
Yeah ipo lakini ni NON MANDATORY, jamaa sijui kwa nini alihangaika nayo?
 
Aplicant (mwombaji) hakuna anakotakiwa ku-upload vitu hivyo labda vya mdhamini tu. Utambulisho wa mwombaji ni Namba zake za mtihani na Birth certificate (rejea TAARIFA BINAFSI ZA MWOMBAJI) Majina lazima yafanane, kama si hivyo lazima kuapa mahakamani
Ipo, mbn me niliambatanisha cha NIDA
 
Msahada jamani mimi sina kitambulisho chochote kinachotambulika na serikali nitafanyaje na wameniandikia invalid applicant identification document
 
wadau kuna shida hasa leo wakati wa kuappload document chini kune sehemu imeandikwa submit. kwa leo haipo. naombwe anayejua hili anaweza kutujuza...
 
wadau kuna shida hasa leo wakati wa kuappload document chini kuna sehemu imeandikwa submit. kwa leo haipo. naombwe anayejua hili anaweza kutujuza...
 
Nashindwa kuattach birth certificate haioneshi sehemu ya kuattach
 

Attachments

  • Screenshot_20220906-105247.png
    Screenshot_20220906-105247.png
    59.8 KB · Views: 19
Hapa naandika entry number or verification number kwenye death certificate
 

Attachments

  • Screenshot_20220906-105233.png
    Screenshot_20220906-105233.png
    49.4 KB · Views: 20
kwa sisi tuliomaliza diploma mwaka huu 2022, tunaweka cheti gani pale kwenye educational information diploma details?
 
Back
Top Bottom