Yoda
JF-Expert Member
- Jul 22, 2018
- 37,626
- 46,271
Kwa miaka mingi imekuwa kawaida sana kusikia taarifa za raia wa Ethiopia wakikamatiwa Tanzania na nchi mbalimbali za Kusini mwa Africa kama wahamiaji haramu.
Hata huko Uarabuni katika nchi kama Saudia Arabia wahamiaji haramu wa Ethiopia ni wengi sana na kila mara huwa wanateswa na wanarudishwa nchini mwao ila bado hawaachi kuzamia huko!
Kwa nini raia wengi wa Ethiopia wanakimbia sana nchi yao hasa ukizingatia matatizo waliyo nayo Ethiopia ni sawa na matatizo ya nchi nyingi za Africa, wana rasilimali nyingi sana lakini pia inasemekana serikali wana jenga sana nchi yao kwa miondombinu?
Hata huko Uarabuni katika nchi kama Saudia Arabia wahamiaji haramu wa Ethiopia ni wengi sana na kila mara huwa wanateswa na wanarudishwa nchini mwao ila bado hawaachi kuzamia huko!
Kwa nini raia wengi wa Ethiopia wanakimbia sana nchi yao hasa ukizingatia matatizo waliyo nayo Ethiopia ni sawa na matatizo ya nchi nyingi za Africa, wana rasilimali nyingi sana lakini pia inasemekana serikali wana jenga sana nchi yao kwa miondombinu?