Nyerere alikuwa na wazo zuri sana la kuanzisha viwanda. Tulikuwa na viwanda vya nguo, tulikuwa na viwanda vya ngozi. etc. etc. Lakini tulizembea sana katika management. Sasa kwa sababu tumejikita katika siasa za kuamini kuwa wawekezaji ndio wakombozi afadhali basi tuwashirikishe katika ufufuaji wa viwanda , si kwamba tuwaachie wao ndio waamue kama ilivyo sasa kwa mujibu wa sera za CCM.
Bro, Nyerere alifelishwa, Zimbabwe walifanya tunachofanya sisi sana, tunakaa na kuangalia wazungu wanweka planta, havesta, pipes za irrigation, solar systems, one man managed warehouse system with trade mills, movers and ultra modern in-premise logistics system.. do you know how many people may needed in 200 acres??? 4, to be fair... later tunalalama na kula vibua na mapanki
I want a rather proactive and explosive approach like Kenya.... we grab it ourselves, we unite and farm kwa kutumia hizi exemptions za kodi za vifaa vya kilimo na mikopo... wahindi wanaramba tu ardhi in the name of kilimo kwanza
Take it kwamba una unakopa 10M na mkiwa watatu naweza kulipa hadi eka 200, na ukipanga vizuri unapata returns na pia continuity
It is absurd tunawapokea wageni pale TIC kwa kujipendekeza wakati wengine kwao hata boksi hawawezi kupiga (ni viazi) ila akija m'bongo tunamuangalia juu hadi chini)
as a solution to attitude, we need to have agencies, yes local agencies to run that business and represent locals in investment plans so that we only do what we do