Tatizo la akina Dada kutoolewa

Tatizo la akina Dada kutoolewa

Joined
Jul 7, 2014
Posts
34
Reaction score
11
Habari wanajamvi.

Naomba kueleweshwa kuwa ni kwanini wanawake wengi waliojaaliwa na mwenyezi Mungu uzuri wa tabia na maumbo mazuri kwanini hawaolewi mapema wanakaa mda mrefu.

Mimi hapa nilipo ninategemea kuolewa mwakani inshala mwenyezi Mungu akijaalia lakini rafiki yangu analalamika kila mara kuwa kila mwanaume anayempata hamuoi anabakia kumfunua funua tu, sasa hivi anamiaka 29 na mzuri sana.

Natambua kuna watu wenye uelewa na hili suala,ili nimsaidie mwenzangu kupitia Jukwaa hili.Yeye yuko Dar es salaam kwamaana alikuwa anaishi Arusha na huyo anayetegemea kuishi naye yuko Dar es salaam na yeye.

Naombeni ushauri.
 
Wewe mwenyewe bado hujaolewa!!sioni kama kutoolewa ni tatizo kubwa kama unavyolikuza!!It depends na malengo,umri na uhitaji wa mtu pia lifestyle yake!!kama amehitaji akakosa ndo tatizo sasa uegeneralize mno,afu kumbuka wanawake ni wengi sana kuliko wanaume!Kwa iyo tegemea tatizo 'kuongezeka'!Ivi ndoa zote na sherehe za harusi zinavyoongezeka ulizani wanaolewa akina nani??Ukiona ni tatizo kwa wengine wala sio!
 
Sema kweli tatizo liko kwako unajifanya unamwombe rafiki ya ushauri ,ila tatizo nikwamba maboys tunaogopa kuchapiwa so tunaamua kutafta madem wakawaida ili kukwepa ilo.
 
Wadada kinachowafanya muanze ngono kabla ya kuolewa ndo kinawakosti.

Mi siwezi kuoa mtu naona kabisa ni duka la taifa, kila anaetaka huduma anapata halafu mnakuja kulalamika hamuolewi.

Tulia kwanza uwe na tabia nzuri wanaume watapanga foleni wenyewe
 
Habari wanajamvi, naomba kueleweshwa kuwa ni kwanini wanawake wengi waliojaaliwa na mwenyezi Mungu Uzuri wa tabia na maumbo mazuri kwanini hawaolewi mapema wanakaa mda mrefu?

Mimi hapa nilipo ninategemea kuolewa mwakani inshala mwenyezi Mungu akijaalia lakini rafiki yangu analalamika kila mara kuwa kila mwanaume anayempata hamuoi anabakia kumfunua funua tu, sasa hivi anamiaka 29 na mimzuri sana.

Natambua kuna watu wenye uelewa na hili suala tafadhali naomba ushauri ili nimsaidie mwenzangu kupitia Jukwaa hili.

Yeye yuko Dar kwamaana alikuwa anaishi Arusha na huyo anayetegemea kuishi naye yuko Dar na yeye.

Wachumba wapo wengi we sema anaowataka yeye ni wale wa matumizi 100,000 kwa siku na kuishia kufunuliwa. Abadili life style
 
Muda wake wa kuolewa bado haujafika mshauri azidi kuwa mvumilivu
 
Mpango wa MUNGU kwa wanadamu wote katika mtazamo wa dini zote na imani zote nikuishi katika hali ya mke na mume,vinginevyo ni UBATILI na CHUKIZO mbele zake...tazama mienendo yako na usijifariji mbele za watu wakat moyoni unaumia..ni rahisi kusema hapana ikiwa kuna NDIO inayochoma ipo ndani yako...swala cyo uzuri wa sura wala umbo..NI AKILI TIMAMU,kama ukikubali mwili wako ndio uendeshe akili yako na maisha yako hakika utakuwa muumini na mfuasi wa shetan...
 
Wadada kinachowafanya muanze ngono kabla ya kuolewa ndo kinawakosti.

Mi siwezi kuoa mtu naona kabisa ni duka la taifa, kila anaetaka huduma anapata halafu mnakuja kulalamika hamuolewi.

Tulia kwanza uwe na tabia nzuri wanaume watapanga foleni wenyewe

hivi we unaweza kuwa na demu then usimuonje :what::what::what:
 
Habari wanajamvi, naomba kueleweshwa kuwa ni kwanini wanawake wengi waliojaaliwa na mwenyezi Mungu Uzuri wa tabia na maumbo mazuri kwanini hawaolewi mapema wanakaa mda mrefu?

Mimi hapa nilipo ninategemea kuolewa mwakani inshala mwenyezi Mungu akijaalia lakini rafiki yangu analalamika kila mara kuwa kila mwanaume anayempata hamuoi anabakia kumfunua funua tu, sasa hivi anamiaka 29 na mimzuri sana.

Natambua kuna watu wenye uelewa na hili suala tafadhali naomba ushauri ili nimsaidie mwenzangu kupitia Jukwaa hili.

Yeye yuko Dar kwamaana alikuwa anaishi Arusha na huyo anayetegemea kuishi naye yuko Dar na yeye.

penye red umejichanganya sana kwa kifupi sijakuelewa. Nkwimba Ngulyati
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom