Tatizo la akina Dada kutoolewa

Tatizo la akina Dada kutoolewa

Sema kweli tatizo liko kwako unajifanya unamwombe rafiki ya ushauri ,ila tatizo nikwamba maboys tunaogopa kuchapiwa so tunaamua kutafta madem wakawaida ili kukwepa Hilo.

duuuuh! Umeua Aisee
 
Habari wanajamvi, naomba kueleweshwa kuwa ni kwanini wanawake wengi waliojaaliwa na mwenyezi Mungu Uzuri wa tabia na maumbo mazuri kwanini hawaolewi mapema wanakaa mda mrefu?

Mimi hapa nilipo ninategemea kuolewa mwakani inshala mwenyezi Mungu akijaalia lakini rafiki yangu analalamika kila mara kuwa kila mwanaume anayempata hamuoi anabakia kumfunua funua tu, sasa hivi anamiaka 29 na mimzuri sana.

Natambua kuna watu wenye uelewa na hili suala tafadhali naomba ushauri ili nimsaidie mwenzangu kupitia Jukwaa hili.

Yeye yuko Dar kwamaana alikuwa anaishi Arusha na huyo anayetegemea kuishi naye yuko Dar na yeye.

Tatizo anatoa mpunyenye bila kujuwa mtu aliye naye kamchaguwa kufunga naye ndoa au anasafisha nyota tu aende zake
 
penye red umejichanganya sana kwa kifupi sijakuelewa. Nkwimba Ngulyati

hahahaa mkuu nimeipenda hii. unaweza sana 'to read between the lines''. Aache kutuzuga hapa, yeye mwenyewe ndo mhusika. Na ninachohisi hapa ni kwamba anahofia hiyo ''ndoa yake to be'' inaweza kuyeyuka tena kama ilivyokwisha kumtokea mara nyingi previously, i.e. anahofia na safari hii pia anaweza kuishia kufunuliwa tu kisha ndege akapeperuka!

Ila daaah ngoja tumuombee kheri huyu dada etu
 
Kuolewa na vizuri lakini tusifinye kama ni lazima sana. ndo maana siku hizi wanalazimisha ndoa ili mradi aonekane nae ameolewa.
 
ukijiweka kuolewa we gentle tutakuchukua lady wa wife material tutakuheshem na kuwish kukuoa kabisa n ukijiweka wa kusafisha rungu basa tunakuchukulia wa kupita na kuachwa. so ka unataka kuolewa jiweke as mke nan anataka akaishi na ----- ndan kwan
 
Kwanza kabisa kabla hujalalamika kuwa hupati wa kukuoa inabidi ujiulize wewe mwenyewe kuwa umejiandaa kuolewa...?
Umejiandaa kuwa mke wa mtu.....?
Umejiandaa kuishi maisha ya ndoa....??
Jitazame mfumo mzima wa maisha yako una kasoro gani...??
Wazungu wanasema "the first impression is the best impression" mtanirekebisha kama nimekosea.....
Wadada wengi wanalalamika kuwa hawapati watu wa kuwaoa wakati wao wenyewe hawataki kuolewa.....watu wanakuona kila siku umevaa nguo za nusu uchi....
Watu kila siku wanakushuhudia ukibadilisha wanaume mithili ya nguo za ndani.......
Watu wanakuangalia unavyowajibu watu nyodo kwa kudhani kuwa hakuna mwanamke mzuri kuliko wewe duniani...jiulize ni mara ngapi watu wanakuona ukiwa umelewa na kuangusha gari...??
Kitu ambacho wadada wengi hawajui ni kuwa wanadhani kuwa waoaji wanatoka sayari nyingine...hajui kuwa wanatoka humu mtaani tunamoishi kwa asilimia kubwa.....hata kama hatoki mtaani kwenu lakini muoaji mwenye hekima humchunguza mke kabla ya kumuoa....na taarifa nyingi na za uhakika atazipata mtaani kwako...hapo ndipo atakoambiwa...ahaa unamuuliza binti wa mzee fulani yule katulia bwana, kwanza anajistiri sana alafu ana adabu na mpole.....
upande mwingine utasikia yule binti sio kabisa yaani hata uoe shetani na sio yule binti......
Kwa hiyo dada zangu ninachotaka kuwa kumbusha kuwa mtindo wetu wa maisha unachangia kwa kiasi kikubwa uwezekano wa wewe kuolewa au kutoolewa......
Vile kuolewa ni jambo la heshima na stara kwa hiyo lazima ujiandae kwa jambo zito kama hilo....
Pia muwe makini na ndimi zenu...
Mimi naamini katika falsafa ya kizuri chajiuza na kibaya chajitembeza....
Ukijiheshimu na kuwa mtu wa adabu sio tu kwa muonekano bali kwa matendo....
Wachumba utakuwa kimbia mwenyewe.....
USHAURI WANGU NDIO HUO...
 
Ivi muda rasmi wa mtu kuolewa ni miaka mingapi? Nadhani tuanzie hapo ili tujue kama kachelewa o not.
Uzuri sio kigezo chakuolewa,,, na umesema ana tabia nzuri huku ukisema kila anaekuwa nae anaishia kuchapa papuchi na kusepa,,, vipi hiyo ndo cv anayojivunia? Mi nadhani angewauliza waliomchap nakusepa kuwa ana tatzo gani hata wasitake kumuoa.
 
Unajua kuna vigezo cya kuoa bac anaweza akawa ajatimiza au anaweza akawa na michepuko ila acjal ataolewa tu.
 
Kwanza kabisa kabla hujalalamika kuwa hupati wa kukuoa inabidi ujiulize wewe mwenyewe kuwa umejiandaa kuolewa...?
Umejiandaa kuwa mke wa mtu.....?
Umejiandaa kuishi maisha ya ndoa....??
Jitazame mfumo mzima wa maisha yako una kasoro gani...??
Wazungu wanasema "the first impression is the best impression" mtanirekebisha kama nimekosea.....
Wadada wengi wanalalamika kuwa hawapati watu wa kuwaoa wakati wao wenyewe hawataki kuolewa.....watu wanakuona kila siku umevaa nguo za nusu uchi....
Watu kila siku wanakushuhudia ukibadilisha wanaume mithili ya nguo za ndani.......
Watu wanakuangalia unavyowajibu watu nyodo kwa kudhani kuwa hakuna mwanamke mzuri kuliko wewe duniani...jiulize ni mara ngapi watu wanakuona ukiwa umelewa na kuangusha gari...??
Kitu ambacho wadada wengi hawajui ni kuwa wanadhani kuwa waoaji wanatoka sayari nyingine...hajui kuwa wanatoka humu mtaani tunamoishi kwa asilimia kubwa.....hata kama hatoki mtaani kwenu lakini muoaji mwenye hekima humchunguza mke kabla ya kumuoa....na taarifa nyingi na za uhakika atazipata mtaani kwako...hapo ndipo atakoambiwa...ahaa unamuuliza binti wa mzee fulani yule katulia bwana, kwanza anajistiri sana alafu ana adabu na mpole.....
upande mwingine utasikia yule binti sio kabisa yaani hata uoe shetani na sio yule binti......
Kwa hiyo dada zangu ninachotaka kuwa kumbusha kuwa mtindo wetu wa maisha unachangia kwa kiasi kikubwa uwezekano wa wewe kuolewa au kutoolewa......
Vile kuolewa ni jambo la heshima na stara kwa hiyo lazima ujiandae kwa jambo zito kama hilo....
Pia muwe makini na ndimi zenu...
Mimi naamini katika falsafa ya kizuri chajiuza na kibaya chajitembeza....
Ukijiheshimu na kuwa mtu wa adabu sio tu kwa muonekano bali kwa matendo....
Wachumba utakuwa kimbia mwenyewe.....
USHAURI WANGU NDIO HUO...

Mkuu kikulachochako naona kama umemaliza kila kitu, labda niongezee nyama kdogo dada zetu kwa kwel majivuno, mavazi na gubu kwa kweli kama unavyo vitu ivyo ni ngumu sana kuolewa wanaume wengi sana wanaangalia mwenendo mzma wa maisha vile vile tatizo jingine ninalosikia ni uzur wa mwanamke, wadau wanavyosema binti akiwa mzur sana kupitiliza inaleta shida sana kwa kuwa watu wengi sana umfuata kutokana na uzur wake inakuwa ni shida kwa muoaji matokeo yake tunawapiga chini walio wazur kupitiliza.
 
Mpango wa MUNGU kwa wanadamu wote katika mtazamo wa dini zote na imani zote nikuishi katika hali ya mke na mume,vinginevyo ni UBATILI na CHUKIZO mbele zake...tazama mienendo yako na usijifariji mbele za watu wakat moyoni unaumia..ni rahisi kusema hapana ikiwa kuna NDIO inayochoma ipo ndani yako...swala cyo uzuri wa sura wala umbo..NI AKILI TIMAMU,kama ukikubali mwili wako ndio uendeshe akili yako na maisha yako hakika utakuwa muumini na mfuasi wa shetan...

mia mkuu! yaani 100% correct and true.
 
Nkwimba, sababu ziko nyingi zinazoweza kufanya mwanamke mzuri asiolewe: Nazijua zifuatazo:

1. Wasichana warembo husifiwa sana. Hilo huwapa hali ya kujiamini juu ya uzuri wao. Kwahiyo wengi huwa na uchaguzi wa wenza wanaowataka na mara nyingi ni vigezo vilivyopitiliza. Kigezo kikubwa ni uwezo wa kiuchumi na mara nyingi uwezo wanaotaka toka kwa wenzi walionao tayari wameoa. Kwahiyo huishia kutumika mpaka muda unapita na wakigutuka ndo hivo washachelewa. Ni kawaida kusikia hata wanawake ninyi wenyewe mkisema yaana yule binti na uzuri wake wote alikubali kuolewa na yule mwanaume? Kwahiyo uzuri kwa wanawake unechukuliwa kama kigezo cha mtu kuolewa na mtu mwenye nguvu ya uchumi. Hata humu kwenye jamvi mtu mmoja alishasema handsome wengi tu ila humuwataki kwa kuwa ni fundi seremala.

2. Kutokana sababu ya kwanza basi wanaume wamekuwa na hofu ya wanawake warembo kwa kuamini ni watu wako kipesa zaidi na pindi hali ya maisha ikilefa kidogo ni rahisi kusaliti. Hivyo mwanamke mrembo ana kazi ngumu zaidi kumuondolea mwenza wake hali ya hizo fikra kulingana na matendo yake.

3. Mara nyingi wanawake warembo husumbuliwa na wanaume kwa kuwataka kimapenzi. Wanaume wana njia nyingi wanazitumia mpaka ampate mwanamke. Mara nyingi warembo wanashindwa hivi vishawishi na watu wamekuwa na dhana kwamba warembo wengi ni malaya.

Kwa leo ndo hizo ntakupa sababu nyingine baadae.
 
Back
Top Bottom