malaberuchela
New Member
- Dec 12, 2014
- 1
- 0
Tatizo nyota
tatizo ni moja tu , watu hasa wa dada wana mtindo wa kutafuta LIFE PARTNER, badala ya kutafuta SOULMATE . kwani life partner can only be a great supporter kwenye upuuzi wako au kutoelewa kwako. soulmate yeye she/he bring out the best in you. unafunga ndoa kwa mbwembwe, kesho unamkumbuka rafikiyo asiye na ndoa, kwani ndoa imekuwa ndoanoWachumba wapo wengi we sema anaowataka yeye ni wale wa matumizi 100,000 kwa siku na kuishia kufunuliwa. Abadili life style
Kutokuolewa ni tatizo?