Rutashubanyuma
JF-Expert Member
- Sep 24, 2010
- 219,470
- 911,174
Wapinzani wasichojua sisiemu hawatabanduka madarakani kwa njia za kidemokrasia bali kwa vurugu za panya roads.
Neema ya kuwang'oa sisiemu haiko kwenye masanduku ya kura bali siku ambayo panya roads watakapoamua kufanya kweli na hiyo siku haiko mbali.
Wapinzani wanalia na katiba mpya ambayo kamwe sisiemu hawatawapatia. Na hata wapinzani hawajui katiba mpya ikoje hivyo hawajui ni mfumo upi ni sahihi kwa nchi hii
Hata Kenya mageuzi hayakuja kwa kubembelezana yalikuja kwa shari tupu na sisi ndiko tunakoelekea.
Sisiemu wanajidanganya watauza ajira za watanganyika kwa wageni kwa visingizio vya mapato, tekinolojia, wataongeza ajira n.k na kutuponda sisi ni wezi, wavivu, hatujitumi lakini ukweli ni kuwa walioshindwa kazi ni wanasiasa ambao ndiyo wabunifu wa mifumo mibovu na teuzi zao za kifisadi lakini hawako tayari kuwajibika.
La kutushangaza sisi hawatuamini lakini kila kukicha utusihii tuwaamini wao katika harakati zao za kujimilikisha njia kuu za uchumi wa nchi hii!
Uhaba wa ajira siyo katiba mpya ndiyo kaburi la sisiemu.
Vita vya Ukraine kama ilivyokuwa Perestroika ya Gorbachev kule Urusi ndiyo ilifuta mfumo wa chama kimoja na sasa vita hivi kuleta mabadiliko makubwa Afrika na vyama vilivyoleta uhuru kama sisiemu na ANC ya Afrika ya Kusini, MPLA ya Angola na Frelimo ya Msumbiji wataondolewa madarakani kwa umwagaji wa damu ambao haujawahi kuonekana Afrika.
Kadri sisiemu wanasaini mikataba ya kuhamisha utajiri wa nchi na kujimilikisha wenyewe kwa mgongo wa wawekezaji basi tujue polepole wameanza kuwakabidhi nchi wamachinga.
Ajira, ajira narudia ajira ndicho kiama cha sisiemu wala siyo ukosefu wa mfumo mpya wa uendeshaji wa nchi.
Vyombo vya usalama nguvu yake ni vitisho sasa hawa "panya road" watafika mahali hawataogopa kufa na huo ndiyo mwisho wa tisha tisha.
Tatizo la vyombo ya usalama haviwezi kuua kila kijana watakapowaua elfu mbili au tatu wataweka silaha chini na hawa mafisadi wa sisiemu watatokomea kusikojulikana kama mkoloni alivyoishia.
Vita vya Ukraine vinaiondoa Marekani na washirika wake kileleni na sasa ufisadi ambao ndiyo ulikuwa unawaunganisha na viongozi wa nchi fukara kama yetu utakoma na mikataba yote iliyosainiwa tangu tupate uhuru itafutwa bila ya fidia yoyote ile.
Kila mara chunga Urusi mambo yote yanaanzia huko na yataishia huko sisi ni kufuata amri tu.
Yanayotokea Afrika ya Magharibi yanatuhusu sana tusidhani tutapita bila majeraha.
Huwezi karne ya 21 ukaruhusu wageni wamiliki njia kuu za uchumi wa nchi khalafu raia wakae kimya bila ya kukutimua wewe Mtawala na watu wako wote.
Neema ya kuwang'oa sisiemu haiko kwenye masanduku ya kura bali siku ambayo panya roads watakapoamua kufanya kweli na hiyo siku haiko mbali.
Wapinzani wanalia na katiba mpya ambayo kamwe sisiemu hawatawapatia. Na hata wapinzani hawajui katiba mpya ikoje hivyo hawajui ni mfumo upi ni sahihi kwa nchi hii
Hata Kenya mageuzi hayakuja kwa kubembelezana yalikuja kwa shari tupu na sisi ndiko tunakoelekea.
Sisiemu wanajidanganya watauza ajira za watanganyika kwa wageni kwa visingizio vya mapato, tekinolojia, wataongeza ajira n.k na kutuponda sisi ni wezi, wavivu, hatujitumi lakini ukweli ni kuwa walioshindwa kazi ni wanasiasa ambao ndiyo wabunifu wa mifumo mibovu na teuzi zao za kifisadi lakini hawako tayari kuwajibika.
La kutushangaza sisi hawatuamini lakini kila kukicha utusihii tuwaamini wao katika harakati zao za kujimilikisha njia kuu za uchumi wa nchi hii!
Uhaba wa ajira siyo katiba mpya ndiyo kaburi la sisiemu.
Vita vya Ukraine kama ilivyokuwa Perestroika ya Gorbachev kule Urusi ndiyo ilifuta mfumo wa chama kimoja na sasa vita hivi kuleta mabadiliko makubwa Afrika na vyama vilivyoleta uhuru kama sisiemu na ANC ya Afrika ya Kusini, MPLA ya Angola na Frelimo ya Msumbiji wataondolewa madarakani kwa umwagaji wa damu ambao haujawahi kuonekana Afrika.
Kadri sisiemu wanasaini mikataba ya kuhamisha utajiri wa nchi na kujimilikisha wenyewe kwa mgongo wa wawekezaji basi tujue polepole wameanza kuwakabidhi nchi wamachinga.
Ajira, ajira narudia ajira ndicho kiama cha sisiemu wala siyo ukosefu wa mfumo mpya wa uendeshaji wa nchi.
Vyombo vya usalama nguvu yake ni vitisho sasa hawa "panya road" watafika mahali hawataogopa kufa na huo ndiyo mwisho wa tisha tisha.
Tatizo la vyombo ya usalama haviwezi kuua kila kijana watakapowaua elfu mbili au tatu wataweka silaha chini na hawa mafisadi wa sisiemu watatokomea kusikojulikana kama mkoloni alivyoishia.
Vita vya Ukraine vinaiondoa Marekani na washirika wake kileleni na sasa ufisadi ambao ndiyo ulikuwa unawaunganisha na viongozi wa nchi fukara kama yetu utakoma na mikataba yote iliyosainiwa tangu tupate uhuru itafutwa bila ya fidia yoyote ile.
Kila mara chunga Urusi mambo yote yanaanzia huko na yataishia huko sisi ni kufuata amri tu.
Yanayotokea Afrika ya Magharibi yanatuhusu sana tusidhani tutapita bila majeraha.
Huwezi karne ya 21 ukaruhusu wageni wamiliki njia kuu za uchumi wa nchi khalafu raia wakae kimya bila ya kukutimua wewe Mtawala na watu wako wote.