Tatizo la ajira kwa vijana ndilo litakalowatoa CCM madarakani

Rutashubanyuma

JF-Expert Member
Sep 24, 2010
219,470
911,174
Wapinzani wasichojua sisiemu hawatabanduka madarakani kwa njia za kidemokrasia bali kwa vurugu za panya roads.

Neema ya kuwang'oa sisiemu haiko kwenye masanduku ya kura bali siku ambayo panya roads watakapoamua kufanya kweli na hiyo siku haiko mbali.

Wapinzani wanalia na katiba mpya ambayo kamwe sisiemu hawatawapatia. Na hata wapinzani hawajui katiba mpya ikoje hivyo hawajui ni mfumo upi ni sahihi kwa nchi hii

Hata Kenya mageuzi hayakuja kwa kubembelezana yalikuja kwa shari tupu na sisi ndiko tunakoelekea.

Sisiemu wanajidanganya watauza ajira za watanganyika kwa wageni kwa visingizio vya mapato, tekinolojia, wataongeza ajira n.k na kutuponda sisi ni wezi, wavivu, hatujitumi lakini ukweli ni kuwa walioshindwa kazi ni wanasiasa ambao ndiyo wabunifu wa mifumo mibovu na teuzi zao za kifisadi lakini hawako tayari kuwajibika.

La kutushangaza sisi hawatuamini lakini kila kukicha utusihii tuwaamini wao katika harakati zao za kujimilikisha njia kuu za uchumi wa nchi hii!

Uhaba wa ajira siyo katiba mpya ndiyo kaburi la sisiemu.

Vita vya Ukraine kama ilivyokuwa Perestroika ya Gorbachev kule Urusi ndiyo ilifuta mfumo wa chama kimoja na sasa vita hivi kuleta mabadiliko makubwa Afrika na vyama vilivyoleta uhuru kama sisiemu na ANC ya Afrika ya Kusini, MPLA ya Angola na Frelimo ya Msumbiji wataondolewa madarakani kwa umwagaji wa damu ambao haujawahi kuonekana Afrika.

Kadri sisiemu wanasaini mikataba ya kuhamisha utajiri wa nchi na kujimilikisha wenyewe kwa mgongo wa wawekezaji basi tujue polepole wameanza kuwakabidhi nchi wamachinga.

Ajira, ajira narudia ajira ndicho kiama cha sisiemu wala siyo ukosefu wa mfumo mpya wa uendeshaji wa nchi.

Vyombo vya usalama nguvu yake ni vitisho sasa hawa "panya road" watafika mahali hawataogopa kufa na huo ndiyo mwisho wa tisha tisha.

Tatizo la vyombo ya usalama haviwezi kuua kila kijana watakapowaua elfu mbili au tatu wataweka silaha chini na hawa mafisadi wa sisiemu watatokomea kusikojulikana kama mkoloni alivyoishia.

Vita vya Ukraine vinaiondoa Marekani na washirika wake kileleni na sasa ufisadi ambao ndiyo ulikuwa unawaunganisha na viongozi wa nchi fukara kama yetu utakoma na mikataba yote iliyosainiwa tangu tupate uhuru itafutwa bila ya fidia yoyote ile.

Kila mara chunga Urusi mambo yote yanaanzia huko na yataishia huko sisi ni kufuata amri tu.

Yanayotokea Afrika ya Magharibi yanatuhusu sana tusidhani tutapita bila majeraha.

Huwezi karne ya 21 ukaruhusu wageni wamiliki njia kuu za uchumi wa nchi khalafu raia wakae kimya bila ya kukutimua wewe Mtawala na watu wako wote.
 
Hongera!!!

Ilitabiriwa kuanzia 2023 na kuendelea,

Kitainuka kizazi kipya kuuliza Yu wapi Mungu wa Eliya ajibuye Kwa Moto.

Watataka majibu kuwa ilikuwaje wakawa mateja, machangudoa, wezi, PANYA road , bodaboda, matchinguys,nk nk,

Watapata jibu kuwa Yezebeli mshauri mkuu wa Mfalme Ahazi ndo tatizo.

Wataingia wote barabarani kutaka mabadiliko. Njiani watakutana na jobless wenye bahasha za kaki kusaka ajira, watakutana na walimu waliodanganywa kuongezea mishahara, watakutana na wapiga debe na makanga wanaosubiri petrol ilofichwa na wahuni.

Kufikia hapo, Yezebeli atatafutwa na Wana wa manabii watamkamata na kumrusha dirishani Ili akawe chakula Cha mbwa next morning.

Sanduku la kura halitakuwa na KAZI tena sababu kura zitapigwa WAZI mabarabarani na Viwanjani!!!

Ikifika, imefika. Putino aungwe mkono🙏🙏
 
Wapinzani wasichojua sisiemu hawatabanduka madarakani kwa njia za kidemokrasia bali kwa vurugu za panya roads.

Neema ya kuwang'oa sisiemu haiko kwenye masanduku ya kura bali siku ambayo panya roads watakapoamua kufanya kweli na hiyo siku haiko mbali.

Wapinzani wanalia na katiba mpya ambayo kamwe sisiemu hawatawapatia. Na hata wapinzani hawajui katiba mpya ikoje hivyo hawajui ni mfumo upi ni sahihi kwa nchi hii

Hata Kenya mageuzi hayakuja kwa kubembelezana yalikuja kwa shari tupu na sisi ndiko tunakoelekea.

Sisiemu wanajidanganya watauza ajira za watanganyika kwa wageni kwa visingizio vya mapato, tekinolojia, wataongeza ajira n.k na kutuponda sisi ni wezi, wavivu, hatujitumi lakini ukweli ni kuwa walioshindwa kazi ni wanasiasa ambao ndiyo wabunifu wa mifumo mibovu na teuzi zao za kifisadi lakini hawako tayari kuwajibika.

La kutushangaza sisi hawatuamini lakini kila kukicha utusihii tuwaamini wao katika harakati zao za kujimilikisha njia kuu za uchumi wa nchi hii!

Uhaba wa ajira siyo katiba mpya ndiyo kaburi la sisiemu.

Vita vya Ukraine kama ilivyokuwa Perestroika ya Gorbachev kule Urusi ndiyo ilifuta mfumo wa chama kimoja na sasa vita hivi kuleta mabadiliko makubwa Afrika na vyama vilivyoleta uhuru kama sisiemu na ANC ya Afrika ya Kusini, MPLA ya Angola na Frelimo ya Msumbiji wataondolewa madarakani kwa umwagaji wa damu ambao haujawahi kuonekana Afrika.

Kadri sisiemu wanasaini mikataba ya kuhamisha utajiri wa nchi na kujimilikisha wenyewe kwa mgongo wa wawekezaji basi tujue polepole wameanza kuwakabidhi nchi wamachinga.

Ajira, ajira narudia ajira ndicho kiama cha sisiemu wala siyo ukosefu wa mfumo mpya wa uendeshaji wa nchi.

Vyombo vya usalama nguvu yake ni vitisho sasa hawa "panya road" watafika mahali hawataogopa kufa na huo ndiyo mwisho wa tisha tisha.

Tatizo la vyombo ya usalama haviwezi kuua kila kijana watakapowaua elfu mbili au tatu wataweka silaha chini na hawa mafisadi wa sisiemu watatokomea kusikojulikana kama mkoloni alivyoishia.

Vita vya Ukraine vinaiondoa Marekani na washirika wake kileleni na sasa ufisadi ambao ndiyo ulikuwa unawaunganisha na viongozi wa nchi fukara kama yetu utakoma na mikataba yote iliyosainiwa tangu tupate uhuru itafutwa bila ya fidia yoyote ile.

Kila mara chunga Urusi mambo yote yanaanzia huko na yataishia huko sisi ni kufuata amri tu.

Yanayotokea Afrika ya Magharibi yanatuhusu sana tusidhani tutapita bila majeraha.

Huwezi karne ya 21 ukaruhusu wageni wamiliki njia kuu za uchumi wa nchi khalafu raia wakae kimya bila ya kukutimua wewe Mtawala na watu wako wote.
VIJANA WA TANZANIA NI WA HOVYO hawamjui anayewafanya Wakose Ajira
 
Wapinzani wasichojua sisiemu hawatabanduka madarakani kwa njia za kidemokrasia bali kwa vurugu za panya roads.

Neema ya kuwang'oa sisiemu haiko kwenye masanduku ya kura bali siku ambayo panya roads watakapoamua kufanya kweli na hiyo siku haiko mbali.

Wapinzani wanalia na katiba mpya ambayo kamwe sisiemu hawatawapatia. Na hata wapinzani hawajui katiba mpya ikoje hivyo hawajui ni mfumo upi ni sahihi kwa nchi hii

Hata Kenya mageuzi hayakuja kwa kubembelezana yalikuja kwa shari tupu na sisi ndiko tunakoelekea.

Sisiemu wanajidanganya watauza ajira za watanganyika kwa wageni kwa visingizio vya mapato, tekinolojia, wataongeza ajira n.k na kutuponda sisi ni wezi, wavivu, hatujitumi lakini ukweli ni kuwa walioshindwa kazi ni wanasiasa ambao ndiyo wabunifu wa mifumo mibovu na teuzi zao za kifisadi lakini hawako tayari kuwajibika.

La kutushangaza sisi hawatuamini lakini kila kukicha utusihii tuwaamini wao katika harakati zao za kujimilikisha njia kuu za uchumi wa nchi hii!

Uhaba wa ajira siyo katiba mpya ndiyo kaburi la sisiemu.

Vita vya Ukraine kama ilivyokuwa Perestroika ya Gorbachev kule Urusi ndiyo ilifuta mfumo wa chama kimoja na sasa vita hivi kuleta mabadiliko makubwa Afrika na vyama vilivyoleta uhuru kama sisiemu na ANC ya Afrika ya Kusini, MPLA ya Angola na Frelimo ya Msumbiji wataondolewa madarakani kwa umwagaji wa damu ambao haujawahi kuonekana Afrika.

Kadri sisiemu wanasaini mikataba ya kuhamisha utajiri wa nchi na kujimilikisha wenyewe kwa mgongo wa wawekezaji basi tujue polepole wameanza kuwakabidhi nchi wamachinga.

Ajira, ajira narudia ajira ndicho kiama cha sisiemu wala siyo ukosefu wa mfumo mpya wa uendeshaji wa nchi.

Vyombo vya usalama nguvu yake ni vitisho sasa hawa "panya road" watafika mahali hawataogopa kufa na huo ndiyo mwisho wa tisha tisha.

Tatizo la vyombo ya usalama haviwezi kuua kila kijana watakapowaua elfu mbili au tatu wataweka silaha chini na hawa mafisadi wa sisiemu watatokomea kusikojulikana kama mkoloni alivyoishia.

Vita vya Ukraine vinaiondoa Marekani na washirika wake kileleni na sasa ufisadi ambao ndiyo ulikuwa unawaunganisha na viongozi wa nchi fukara kama yetu utakoma na mikataba yote iliyosainiwa tangu tupate uhuru itafutwa bila ya fidia yoyote ile.

Kila mara chunga Urusi mambo yote yanaanzia huko na yataishia huko sisi ni kufuata amri tu.

Yanayotokea Afrika ya Magharibi yanatuhusu sana tusidhani tutapita bila majeraha.

Huwezi karne ya 21 ukaruhusu wageni wamiliki njia kuu za uchumi wa nchi khalafu raia wakae kimya bila ya kukutimua wewe Mtawala na watu wako wote.
ajira
 
Back
Top Bottom