Tatizo la Afrika ni Waafrika wenyewe

Tatizo la Afrika ni Waafrika wenyewe

HAKI KWA WOTE

JF-Expert Member
Joined
Nov 30, 2022
Posts
2,783
Reaction score
2,395
Waafrika mara nyingi ndio TATIZO la Afrika.

Jenerali Michael Langley ambaye ambaye ni Mwafrika aliyemshutumu Kapteni Ibrahim Traoré kwa kulinda dhahabu ya Burkina Faso kwa faida zake binafsi imekaribishwa kwa joto na serikali ya Ivory.

Hii inaonyesha wazu jinsi viongozi wengi wa Kiafrika wanavyoshirikiana na nchi za kigeni, hata wakati nchi hizo zinalenga kuwaangamiza Waafrika wenzake.

Fikiria kama kiongozi wa Kiafrika angemtuhumu hadharani Rais wa Amwrika lazima Ufaransa ingeingilia kati na kumkamata kiongozi huto wa Kiafrika na kumfunga lakini wakati Amerika inamtuhumu kiongozi wa Kiafrika, serikali zingine za Kiafrika zinamuuunga mkono.

Kukosekana kwa usawa huu kunaonyesha ni jinsi bado WAAFRIKA tunakosa URMOJA na UHURU wa kweli wa Kiafrika.

Suluhisho:-Waafrika tuachane na dini za kuja zinazopumbaza waafrika kwa kuwataka kuwapenda maadui zao ambao ni mataifa ya magharibi na vibaraka wao kwa 100% ndani ya afrika kwa kutokulipiza kisasi kwa kisingizio eti mungu hapendi,

Huu ni wakati wa waafrika kujilinda na kulipiza visasi na kumuweka pembeni mungu wa mataifa ya magharibi wanayeendelea kumnadi kupitia yesu na muhamad kwani ameshindwa kutulinda na kutusaidia waafrika
 
Unataka tumtegemee Mungu yupi atakayetutoa utumwani?
 
Ww ni mtu wa ovyo kupindukia mida mingine kama hamna cha kuandika ni bora mnyamaze tuu.
 
Ukitaka Africa itoke huko kwanA futeni ELIMU ya wazungu , hapo mtakuwa mnajikomboa wenywe na vizazi vyenu ..Bilq hivyo mnajidangany hao vibaraka wanazaliwa kutokana na elimu .
 
Waafrika mara nyingi ndio TATIZO la Afrika.

Jenerali Michael Langley ambaye ambaye ni Mwafrika aliyemshutumu Kapteni Ibrahim Traoré kwa kulinda dhahabu ya Burkina Faso kwa faida zake binafsi imekaribishwa kwa joto na serikali ya Ivory.

Hii inaonyesha wazu jinsi viongozi wengi wa Kiafrika wanavyoshirikiana na nchi za kigeni, hata wakati nchi hizo zinalenga kuwaangamiza Waafrika wenzake.

Fikiria kama kiongozi wa Kiafrika angemtuhumu hadharani Rais wa Amwrika lazima Ufaransa ingeingilia kati na kumkamata kiongozi huto wa Kiafrika na kumfunga lakini wakati Amerika inamtuhumu kiongozi wa Kiafrika, serikali zingine za Kiafrika zinamuuunga mkono.

Kukosekana kwa usawa huu kunaonyesha ni jinsi bado WAAFRIKA tunakosa URMOJA na UHURU wa kweli wa Kiafrika.

SULUHISHO:-WAAFRIKA TUACHANE NA DINI ZA KUJA ZINAZOPUMBAZA WAAFRIKA KWA KUWATAKA KUWAPENDA MAADUI ZAO AMBAO NI MATAIFA YA MAGHARIBI NA VIBARAKA WAO KWA 100% NDANI YA AFRIKA KWA KUTOKULIPIZA KISASI KWA KISINGIZIO ETI MUNGU HAPENDI,
HUU NI WAKATI WA WAAFRIKA KUJILINDA NA KULIPIZA VISASI NA KUMUWEKA PEMBENI MUNGU WA MATAIFA YA MAGHARIBI WANAYEENDELEA KUMNADI KUPITIA yesu NA muhamad KWANI AMESHINDWA KUTULINDA NA KUTUSAIDIA WAAFRIKA

u guy talkin' shit!
 
hiyo ndiyo asili yetu 😆, hata wewe au mimi tukiwa viongoz ni yaleyale,,

si umeona wameenda CAS
 
Unataka tumtegemee Mungu yupi atakayetutoa utumwani?
Mungu wa kweli na siyo Mungu wa maigizo aliyekwenye biblia na quruan,huo ni ujinga kuamini ktk hadithi za vitabu vya warabu na wazungu,ni laana!
 
hiyo ndiyo asili yetu 😆, hata wewe au mimi tukiwa viongoz ni yaleyale,,

si umeona wameenda CAS
Waafrika tukiapishana kwa MILA na TAMADUNI zetu na kuweka pembeni katiba turafika mbali na wasaliti wote watakwishaa.
 
Ww ni mtu wa ovyo kupindukia mida mingine kama hamna cha kuandika ni bora mnyamaze tuu.
Hivi hamuelewi au kuwakejeli watu dini imetunufaishaje africa dini zimekuwa chanzo cha matatizo yani wallet hawaijui waletewaji sasa dodo had na mjani wake
 
1745660195171.jpg
 
Hakuna Jenerali wa jeshi la Marekani muafrika, labda ungesema Black
 
Hapa ndipo utaona UJINGA na UPUMBAVU wa kundi kubwa la watu weusi wanaoitwa WAAFRIKA!!
 
Back
Top Bottom