Tatizo hili suluhu yake ni nin wakuu

Nakubaliana na wachangiaji wengine hapo juu.
Pia angalia yafuatayo;
1. Aina ya viatu unavyotumia..rana ziwe zenye soli iliyoinuka.
2. Barabara unayotumiabkujog labda ni ngumu Sana..mf lami..pendelea kukimbia kwenye ardhi laini na yenye mchanga..inafaida yake pia.
3. Namna ya ukimbiaji wako na uzito ulionao,epuka kukimbia kwa kutumia mguu/unyayo wote kukanyaga ardhi..kufanya hivi miguu na magoti unaipa kazi ya kuzuia mwili wako. Jikague kama unatoa sana kishindo ndio tafsiri ya hiki ninachokisema,jitahidi ukiwa unakimbia unyayo usiukanyagie wote ardhini..tumia eneo dogo la nyuma ya vidole.
Ahsante.
Dah kwel mkuu...well..hapo kwenye kishindo ni kwel..pia barabara nayotumia ina lami na ni ngumu kwel kwel

Well..viatu naona viko sawa..
 
Poa. Ukipenda unaweza kujiunga katika timu za.mpira wa miguu mtaani kwako.

Kule unapata mazoezi automatically huku ukiburudika
Ni kwel mkuu. Jana nilienda pewa ratiba kabisa ya mazoez..naona hiyo pia nzur. Ingawa ndo hvyo..wakinivunja mguu na utu uzima huu...nmenunua na njum kabisa na jezi
 
Kama misuli inauma ni kawaida itaacha mwili ukizoea. Kama magoti(knee joint) yanauma na unasema hadi unashindwa kutembea nakushauri nenda kwa daktari. NAPOLEON
 
Katika haraka za kuanza jogging..5 km..nna kama week 1 hiv...sasa gafla miguu kwenye magoti humu inauma balaa mpaka nashindwa kutembea..

Hebu wajuzi nisaidieni kidogo..naponaje hili tatzo ili niendelee na ratiba yangu hiyo

Uzi tayar
(Kinyonge zaid)

Unatakiwa ule Karanga kwa wingi Sana walau Robo kila Siku unapokimbia na uendelee kukimbia hata Kama unaumia.

Hii itakusaidia kumaliza mafuta ya uzembe yanayokusumbua katika magoti.

Kumbuka haya Ni matibabu ya ukakamavu zaidi. Mimi nimewahi kujitibu kwa njia hii nilipokuwa najifunza kukimbia mbio ndefu.
 
Kuruka kamba ni bora zaidi ya kukimbia..kuruka kamba kwa dakika 10 ni sawa na aliekimbia kwa dakika 30. Sijasema kukimbia haifai ila matokeo ya kuruka kamba yanaonekana kwa haraka Sana;
1. Haihitaji eneo kubwa.
2. Inakuwa kama unacheza tu.
3. Usalama wako ni mkubwa..barabarani magari mengi.
4. Inahusisha sehemu kubwa ya viungo vya mwili.
Kutaja vichache.
 
Katika haraka za kuanza jogging..5 km..nna kama week 1 hiv...sasa gafla miguu kwenye magoti humu inauma balaa mpaka nashindwa kutembea..

Hebu wajuzi nisaidieni kidogo..naponaje hili tatzo ili niendelee na ratiba yangu hiyo

Uzi tayar
(Kinyonge zaid)
Tiba asili mkuu watakuwa wamekudanganya. Eti kimbia kila siku upunguze uzito vila mwongozo wa kuanza kidogo kidogo. Ungeanza kidogo let say nusu kilomita yaani kama viwanja vi-3 vya mpira, Kuala unaongeza kidogo kila siku!
 
Kuruka kamba ni bora zaidi ya kukimbia..kuruka kamba kwa dakika 10 ni sawa na aliekimbia kwa dakika 30. Sijasema kukimbia haifai ila matokeo ya kuruka kamba yanaonekana kwa haraka Sana;
1. Haihitaji eneo kubwa.
2. Inakuwa kama unacheza tu.
3. Usalama wako ni mkubwa..barabarani magari mengi.
4. Inahusisha sehemu kubwa ya viungo vya mwili.
Kutaja vichache.
Jumping Rope haiwezi kuwa mbadala wa Jogging and ViseVersa Jogging haiwezi kuwa mbadala wa Jumping Rope.

Jogging inagusa misuli ipasavyo ya miguu 90% na mwili nzima 80%.

Jumping Rope inagusa Punzi hasa 100% haigusi msuli ipasavyo kama Jogging.

Function Muscle...kila Setup ya mazoezi ina Goal zake mwilini.
 
Kama misuli inauma ni kawaida itaacha mwili ukizoea. Kama magoti(knee joint) yanauma na unasema hadi unashindwa kutembea nakushauri nenda kwa daktari. NAPOLEON
Kabisa mkuu..nataka niende masana hapo..maana kwa maumivu haya inaonekana kuna injury imetokea kwenye magoti humu..
 
Unatakiwa ule Karanga kwa wingi Sana walau Robo kila Siku unapokimbia na uendelee kukimbia hata Kama unaumia.

Hii itakusaidia kumaliza mafuta ya uzembe yanayokusumbua katika magoti.

Kumbuka haya Ni matibabu ya ukakamavu zaidi. Mimi nimewahi kujitibu kwa njia hii nilipokuwa najifunza kukimbia mbio ndefu.
Mhh.sjakuelewa mkuu..
Na je ishawai kukutokea hii kitu?
 
Kuruka kamba ni bora zaidi ya kukimbia..kuruka kamba kwa dakika 10 ni sawa na aliekimbia kwa dakika 30. Sijasema kukimbia haifai ila matokeo ya kuruka kamba yanaonekana kwa haraka Sana;
1. Haihitaji eneo kubwa.
2. Inakuwa kama unacheza tu.
3. Usalama wako ni mkubwa..barabarani magari mengi.
4. Inahusisha sehemu kubwa ya viungo vya mwili.
Kutaja vichache.
Okayyyy....nilikua sjui hili..ngoja ni google zaid...sasa na efficiency yake kwenye pumz ni vip
 
Tiba asili mkuu watakuwa wamekudanganya. Eti kimbia kila siku upunguze uzito vila mwongozo wa kuanza kidogo kidogo. Ungeanza kidogo let say nusu kilomita yaani kama viwanja vi-3 vya mpira, Kuala unaongeza kidogo kila siku!
Nikweli kuanza mdogo mdogo ndo nzur..mim nmezidisha matokea yake ndo haya sasa
 
Jumping Rope haiwezi kuwa mbadala wa Jogging and ViseVersa Jogging haiwezi kuwa mbadala wa Jumping Rope.

Jogging inagusa misuli ipasavyo ya miguu 90% na mwili nzima 80%.

Jumping Rope inagusa Punzi hasa 100% haigusi msuli ipasavyo kama Jogging.

Function Muscle...kila Setup ya mazoezi ina Goal zake mwilini.
Duh.nilikua sjui haya mkuu..maana mi nachotafta..
1.ku work out mwil wangu..sio nikonde.no niwe fit tu kiafya zaid
2.natafta pumzi
3.nipungue kidoogo.
 
Okayyyy....nilikua sjui hili..ngoja ni google zaid...sasa na efficiency yake kwenye pumz ni vip
Hilo la kugoogle au youtube ni jema..kuna tafiti nyingi zimefanyika na zimetoa haya niliyoyasema..japo kuna mtu huko mwanzo amenipinga.
 
Back
Top Bottom