Napoleone
JF-Expert Member
- Apr 11, 2012
- 10,087
- 15,958
Katika haraka za kuanza jogging..5 km..nna kama week 1 hiv...sasa gafla miguu kwenye magoti humu inauma balaa mpaka nashindwa kutembea..
Hebu wajuzi nisaidieni kidogo..naponaje hili tatzo ili niendelee na ratiba yangu hiyo
Uzi tayar
(Kinyonge zaid)
Hebu wajuzi nisaidieni kidogo..naponaje hili tatzo ili niendelee na ratiba yangu hiyo
Uzi tayar
(Kinyonge zaid)