Joshua justine
JF-Expert Member
- Sep 1, 2021
- 792
- 1,007
Unawakumbuka wale jamaa waliokufa katikati ya matukio, mfano yule mzee mmiliki wa bar moja pale arusha aliyegongwa na toyo usiku wa mwaka mpya akiwa na mchepuko wake, ama wale wanaofariki nyumba za wageni na kukimbiwa na michepuko yao , ama wale waliojiua sababu ya kuumizwa katika mapenzi ama wale majambazi waliokufa wakirushiana risasi na askari polisi .....n.k
Watu kama hao unajua wenyeji wao sasa hivi huko waliko ni majamaa kama hayo.....yaani unapelekwa nyumbani kwao hayo , kuzimu huko.
Vipi hapo........
View attachment 2499251View attachment 2499252View attachment 2499253
Watu kama hao unajua wenyeji wao sasa hivi huko waliko ni majamaa kama hayo.....yaani unapelekwa nyumbani kwao hayo , kuzimu huko.
Vipi hapo........
View attachment 2499251View attachment 2499252View attachment 2499253