Lizaboni
JF-Expert Member
- Feb 21, 2013
- 33,894
- 20,372
CHADEMA ilikuwa inatetea kata 3 na ikafanikiwa kutetea moja. Pia ikafanikiwa kushinda kata mbili ambazo zilikuwa ni za CCM. Kata ilizopoteza ni ile ya Bunda iliyoenda ccm na ile ya Kigoma iliyoenda NCCR MAGEUZI. IMETETWA kata ya Kiborlon, imepoka toka kwa ccm kata za sombetini na njombe. CCM ilikuwa inatetea kata 24. Imetetea kata 22, imepoteza kata 2. Pia imeshinda kata 1 ambayo ilikuwa ni ya CHADEMA, kule Bunda. Kwa hesabu za haraka. CCM ndo imefanya vizuri zaidi. Ni sawa na mzazi mwenye watoto wengi na ikafanikiwa kuwasomesha watoto wote isipokuwa wawili. Ni tofauti na yule mwenye mtoto mmoja halafu akasema kuwa anatunza vizuri mtoto wake huku akimcheka yule mwenye watoto 10 ambaye anatunza vizuri watoto wote isipokuwa wawili ambao hawafuati maagizo ya wazazi wao