M4C ilikuwa kichaga zaidi nazani hata wewe umeona wengi waliopewa nafasi ya kuzungumza chochote ni wakaskazini.
2.mbowe aliponda kutangaza nia za ubuge au urais lakini kuna watu wawili wametangaza nia za ubunge serengeti na kwa mh chami.
3.kauli za kibabe za lema juu ya makampuni ya simu kana kwamba anahisa.
4.kauli ya nassari kwamba Tz ni laini sana kama maini
5!mwenyekiti mbowe kamaliza kuongea lakini bado kuna jamaa wanaendelea kuongea
6.mtangazaji hajui chochote hata jina la chama
Shughuli nzima ilikuwa haijapangiliiwa vizuri. Ni lazima muwe na ujumbe mahsusi ili kuweza kuwa convince watu mnachokifanya na sio kuropoka against CCM. Tell us your M4C story. Acheni lugha za kihuni. Jifunzeni protocol! Sio kila mtu anaongea kwa vile tu ni mashuhuri. Sasa kwanini anaaanza kuongea Mbowe, Lema halafu Nasari why not vice versa??? Mwisho amefunga Mkiti, Nasari anaingia kusoma message.
Inaonekana Mbowe ana ubabe fulani hivi...kila saa anajiongelea yeye...halafu anasema sisi wasomi ni waoga. Mind your language Mkiti na hizo speech zako uwe umeziandika. Watu wameandaa shughuli stick to the basics siyo kuanza kubeza watu.
Uongozi wa kitaifa ulikaribishwa na wa CHADEMA Dsm matokeo yake mkadominate shughuli yote na MC-uso wa Dada Rose ulikuwa unaonyesha she is just not happy....
Lema alikuwa amekunywa? anaambiwa aongee experience ya Arusha anatupa ishu za London sijui magari? Mara nisiporudi mimi anakuja Dr Slaa...lol
jipangeni sawasawa:A S 465: