Tathmini: M4C Fundraising Dar wapi hapakuwa sawa na nini Kifanyike

Kwenye kauli zake na kampeni zake mashuhuri duniani, mweshimu miwa barack obama alikuwa akitumia slogan ya yes we can. Nashangaa kama jamaa anafikiri bado watanzania hawana TV, nitanukuu kauli yake ya jana mara baada ya nassari kuongea alisema "YES WE CAN" mbona sioni kauli hata moja ya wanachadema. hivi siyo kwamba Mbowe bado anamwigiza OBAMA?embu wadau tuwaelimishe hawa wasanii

Na ***** wenu anavyosemaga "I have a Dream" mbona hamsemi kitu.
Mijitu mingine bwana...
 
Kwenye kauli zake na kampeni zake mashuhuri duniani, mweshimu miwa barack obama alikuwa akitumia slogan ya yes we can. Nashangaa kama jamaa anafikiri bado watanzania hawana TV, nitanukuu kauli yake ya jana mara baada ya nassari kuongea alisema "YES WE CAN" mbona sioni kauli hata moja ya wanachadema. hivi siyo kwamba Mbowe bado anamwigiza OBAMA?embu wadau tuwaelimishe hawa wasanii

Ache uthengi!
 
M4C chama alichokianzia mwanadada mmoja na jamaa fulani nchini wingereza akiwa na objective kubwa ya kusambaza matawi yake ndani na nje ya nchi na kukusanya fedha nyingi kama mnabisha tembeleeni Movement for Change | Home waasisi wake wanaitwa
[h=2]Stella Creasy/Ed Miliband .[/h]na ninasikia mara baada ya godbless lema kumaliza kikao chake cha kufungua tawi lao londoni alikwenda kuripoti maendeleo ya CDM nyumbani kwa huyu mwanamama. sasa kwa mwendo huu Afrika umasikini utaisha lini?
kama kuna mtu anabisha abatilishe kwa hoja.
 
Kwenye kauli zake na kampeni zake mashuhuri duniani, mweshimu miwa barack obama alikuwa akitumia slogan ya yes we can. Nashangaa kama jamaa anafikiri bado watanzania hawana TV, nitanukuu kauli yake ya jana mara baada ya nassari kuongea alisema "YES WE CAN" mbona sioni kauli hata moja ya wanachadema. hivi siyo kwamba Mbowe bado anamwigiza OBAMA?embu wadau tuwaelimishe hawa wasanii

Acha utoto wewe, muwe watu wazima wakati mwingine. Hapa sio FB kuandika ujinga na upumbavu, sasa kwa hoja kama hii mtoto wa chekechea aandike nini?

Join Date : 8th August 2012

Posts : 16
Rep Power : 304
Likes Received: 0

Likes Given: 5
 
Kukosekana kwa baadhi ya Makamanda kusichukuliwe kama kigezo cha kuonyesha umoja au uhai wa CHADEMA. Kumbukeni hizi ni Kampeni endelevu za Kanda kwa kanda, Kaskazini washamaliza, jana ilikuwa Pwani, Kanda ya ziwa wanafanya maandalizi, watafuata kusini na hatimaye kilipo kitovu cha kutunga sheria.

Kamanda Mbowe alikuwa pale kama mgeni rasmi, sawa tu na ambavyo kanda ya ziwa wakiamua mgeni rasmi awe PhD na Mbowe asiwepo.

Kukosekana kwa Makamanda wengine ZZK, Sugu, Msigwa, Mnyika, Mdee na wengineo hakumaanishi kuzorotesha nguvu ya CDM. CDM ni nguvu ya Umma na si kiongozi mmoja mmoja, wao ni watia hamasa tu na kuelekeza njia sahihi.

Utashangaa watu leo humu wameshupaa na Slaa, Zito jamani hawa si Chama. Kama alivyosema Mbowe ''NIKIFA MSILIE WEKENI MAITI YANGU PEMBENI NA ENDELEENI NA HARAKATI ZA UKOMBOZI''. Kwa unayefahamu kiswahili fasaha huu ujumbe haumaanishi kwamba itelekezeni maiti yangu basi iliwe na wanyama HAPANA bali yeye si Chama hata akifa au kutoka CDM itabaki na mapambano yataendelea kwa kuwa Chama hiki ni nguvu ya UMMA.


ADIOS
 
Kwenye kauli zake na kampeni zake mashuhuri duniani, mweshimu miwa barack obama alikuwa akitumia slogan ya yes we can. Nashangaa kama jamaa anafikiri bado watanzania hawana TV, nitanukuu kauli yake ya jana mara baada ya nassari kuongea alisema "YES WE CAN" mbona sioni kauli hata moja ya wanachadema. hivi siyo kwamba Mbowe bado anamwigiza OBAMA?embu wadau tuwaelimishe hawa wasanii
Unajua maana siri?? kwahiyo Mh Mbowe kusema Yes We can kwako ndio siri imefichuka? fikiria kwa tumia kichwa cha juu si cha chini?? na kama huwezi kufunga acha inawezekana swaum ndio inakupleka fyongo.
 
Si busara sana kulalamika kwa mapungufu yaliyojitokeza katika tukio la leo na si vibaya kupongeza na kudumisha yote mazuri katika tukio hili hapo SERENA HOTEL.

Nini Tathmini yako Mpenda mbadiliko na nini kifanyike siku zijazo?

Ukweli ni kuwa MC alituangusha sana, ni kama alikuwa ajajiandaa, nadhani alipanda kutuhujumu, alikuwa kama hajui nini kimemleta pale, nilitegemea kuwa wakati anakuja pale awe anajua anakuja kufanya nini. Alikuwa anababaika sana. Pili, tujifunze ukomavu na hekima ya Kamanda Mbowe, nampa heshima kubwa, alijaribu kuweka mambo sawa pale ambapo yalionekana kuaharibika. Vinginevyo, mambo yalienda safi.
 
Unajua maana siri?? kwahiyo Mh Mbowe kusema Yes We can kwako ndio siri imefichuka? fikiria kwa tumia kichwa cha juu si cha chini?? na kama huwezi kufunga acha inawezekana swaum ndio inakupleka fyongo.
kuwa na akili fupi kama ya kuku ni noma aisee, maana jogoo akikimbizwa tu anafikiri anataka kuchinjwa, bila kufikiri jike nae akimwona tu jogoo anakimbia anafikiri anataka kupewa mambo. sasa wewe nae umesikia kichwa ukawaza yale yalee ya kugongwa, mi sipo huko shekhe nimefunga. nicheki baada ya mfungo
 
Hivyo vitabu unavyosoma huko mashuleni uliviandika wewe? Na wewe andika chako usome gamba wewe! Ulitaka amwige Yule mwenyekiti wa Chama cha mabwepande kuanguka majukwaani?
 
nenda kapimwe akili. we are looking for the best of the mission done yesterday and that limits your mind that you are stil blind.
Kayaga twende.
 
kumbe unasikia huna uhakika,matawi tutafungua sana ndani na nje ya nchi. kinachowaumiza ni kwamba kwa sasa mtaji wenu umefilisika watz wamefunguka wanachakamkia mageuzi. kalagabao mwana wane
 
Tuungane kwa pamoja ili pale palipokosewa pawe sawa,tuwashukuru wote walofanIkisha m4c dar kwani mwanzo mnzuri.Ili chama kienee kila kijiji zana za kazi ni muhimu sana kwa hiyo kilichopo kitumike kununulia.Yote kwa yote hongeeni wote mnaojitoa kuleta ukombozi.
 
M4C chama alichokianzia mwanadada mmoja na jamaa fulani nchini wingereza akiwa na objective kubwa ya kusambaza matawi yake ndani na nje ya nchi na kukusanya fedha nyingi kama mnabisha tembeleeni Movement for Change | Home waasisi wake wanaitwa
Stella Creasy/Ed Miliband .

na ninasikia mara baada ya godbless lema kumaliza kikao chake cha kufungua tawi lao londoni alikwenda kuripoti maendeleo ya CDM nyumbani kwa huyu mwanamama. sasa kwa mwendo huu Afrika umasikini utaisha lini?
kama kuna mtu anabisha abatilishe kwa hoja.
with obama.jpeg
anatoa brief kwa master wake
 
Kwani hilo neno alolitunga au kuwa wa kwanza kulitumia ni Obama? Si ni neno la kawaida tu?????
 
Kwenye kauli zake na kampeni zake mashuhuri duniani, mweshimu miwa barack obama alikuwa akitumia slogan ya yes we can. Nashangaa kama jamaa anafikiri bado watanzania hawana TV, nitanukuu kauli yake ya jana mara baada ya nassari kuongea alisema "YES WE CAN" mbona sioni kauli hata moja ya wanachadema. hivi siyo kwamba Mbowe bado anamwigiza OBAMA?embu wadau tuwaelimishe hawa wasanii

Waziri Mkuu wa Israel wa sasa Benjamin Natanyahu alitumia slogan hiyo hiyo YES WE CAN kiyahudi na akashinda

Alikopi kila kitu kama OBAMA hadi website yake na RANGI... ILA ni kwa KIYAHUDI, na AKASHINDA kwa KISHINDO

Na wapinzani wake KINA SHIMON PERES na chama chao WAKAJIUNGA NAE na walikuwa wapinzani wakubwa....

Sasa Sio Mbaya kwa MBOWE KUITUMIA as long as hauumleti OBAMA HAPA...
 
Back
Top Bottom