Muendelezo wa kuchangia m4c ni mzuri isipo kuwa maandalizi ya shughuri hayatakiwi kufanywa kwa kushtukiza kama hii. Huu ulitakiwa kuwa hata mpango wa majuma matatu au hata mwezi, kuiandaa shughuri kuwa katika viwango vya uhakika kuanzia uandaaji, ma mc wabobezi na kuhamasisha sana kupitia vyombo mbalimbali vya habari.
Lakini lingine kubwa next m4c contributions gathering iwe inatoa mrejesho wa kilicho changwa na jinsi kilivyotumika. Mfano leo wangeweza ku breaka down mapato ya m4c Arusha na matumizi yake then impact yake kwa ujumla kwenye chama.
Muhimu.
Waziri kivuli wa fedha ambae pia ana cheo cha unaibu katibu mkuu kutokujihusisha na mambo ya chama kwenye fund rising ambayo naamini ni moja ya mambo muhimu na miongoni mwa majukumu ya pamoja ni dosari kubwa kwake. Hawezi kuwa raisi kwa kuota kwenye vyombo vya habari! Apambane ili chama kiopate fedha kifike kule anakota azipate kura za uraisi.