Tathimini ya Leo, Lowassa V/S Magufuli

Tathimini ya Leo, Lowassa V/S Magufuli

Kwani wewe hujamsikia magufuli akizungumza kwenye mkutano?Ana namna ya maneno ya kujipendekeza sana kwa rais ili aonekane ni mchapa kazi.

hiyo ni kweli kabisa, hotuba zake ni za kujipendekeza
 
Kumbe umetembelea vijiweni! Watu wenye akili timamu wanashinda vijiweni?

labda utakuwa unaongelea wenye akili timamu wanao shinda/ishi ktk maeno ambayo hayana access ya internet,lakini kama unatuongelea sisi ambao kwetu huduma ya internet inapatikana,tulifanya hivi leo.
11802631_1037163709629711_5217728117492112280_o.jpg


11800415_1037164682962947_4994563147190459677_n.jpg
 
labda utakuwa unaongelea wenye akili timamu wanao shinda/ishi ktk maeno ambayo hayana access ya internet,lakini kama unatuongelea sisi ambao kwetu huduma ya internet inapatikana,tulifanya hivi leo.
11802631_1037163709629711_5217728117492112280_o.jpg


11800415_1037164682962947_4994563147190459677_n.jpg

We pimbi...unategemea nini kama mmefunguliwa humu ndani kama nyumbu na kila mtu ameamuriwa kuwa na ID zaidi ya 50?
 
Explanation hiyo ni simple..kila nyumbu mmoja amelazimishwa kuwa na ID zaidi ya 50 na kila ID lazima ifanye iweke comments sio zaidi ya 10 kwa siku...hapo unategeme nn?
HAHAHAHAHA round hii mtakuja na kila aina ya assumption.HAHAHAHAHAHAHA.magambaaaaaaaaaaa
 
Huna aibu..watanzania tunanyonywa na wakoloni weusi maccm..wewe bado unayashabikia..ningekuwa nakujua..ningekupa la uso..lbda utazinduka!

Hahahaaaaa
 
Katika vijiwe kumi nilivyotembelea leo kuanzia Lumumba hadi Ofisi za NEC. Vijiwe nane vilikuwa vinamuongelea Lowassa wakati wanaCCM wako kwenye harakati za kuchukua fomu ya Urais. Vijiwe viwili ambavyo vilikuwa na wavaaji nguo za kijani, wengine boxers zao ni za C.C.M walijisahau na kujikuta wanaongelea Lowassa mazungumzo yao yote, vilevile walionyesha dhahiri pasipo shaka kukosa amani na raha kabisa kwa mamvi kubadili kambi.

Kwa hiyo basi kwa hali ya sasa ilivyo, ni vizuri UKAWA washughulike na hawa undecided voters, na wale wanaojifanya C.C.M damu, kumbe ndani ya mioyo yao, wako msibani wa kumpoteza Lowassa.

unasahau tu kua miaka yote ushindi wa hawa jamaa hua hawautegemei mjini,,, kuna watu huku madongo kuinama hawajui kingine zaid ya nyerere kua ndo rais mpaka keshokutwa na hawa ndo wapiga kura sio hawa jamaa wa kujificha chini ya vitz na kwenda tu gym,, hua hawapigi kura hawa mashoga na hata wakipiga ni wachache tu,,, ielewe sayansi ya namba ndugu yangu
 
Back
Top Bottom