yaani Chadema, Ukawa, Na Lowasa funika ile mbaya wamempoteza Magufuli nimeenda Bank TV zao Lowasa, Barabarani watu na cmu Lowasa, maofisini Radio na TV Lowasa sasa nn cha ziada
Ungeuliza hao mateja wa vijiweni kama wa kadi za kupigia kura...zumbukuku we
Jukwaa hili ni vyema tukajenga hoja badala ya kutukana na kukejeli.Mleta hoja anasema kafanya rough or random survey ktk eneo fulani na kupata majibu fulani.Mtu mwingine anakuja kutukana.Kweli Bongo tunayo safari ndefu sana.
Kumbe umetembelea vijiweni! Watu wenye akili timamu wanashinda vijiweni?
nilishawahi kulisema hili ktk thread fulani,na leo narudia tena:unasahau tu kua miaka yote ushindi wa hawa jamaa hua hawautegemei mjini,,, kuna watu huku madongo kuinama hawajui kingine zaid ya nyerere kua ndo rais mpaka keshokutwa na hawa ndo wapiga kura sio hawa jamaa wa kujificha chini ya vitz na kwenda tu gym,, hua hawapigi kura hawa mashoga na hata wakipiga ni wachache tu,,, ielewe sayansi ya namba ndugu yangu
Mimi ofsini kila mtu kwenye laptop yake alikuwa ametune Azam TV au Radioone au capital kufatilia Cdm! kuna jamaa mmoja ni ccm alikuwa anataka kulia!
Yaani tumecheka mpaka basi!
nilishawahi kulisema hili ktk thread fulani,na leo narudia tena:
"kama mtaji wa CCM kushinda chuguzi ni kupitia kura za kikundi cha watz wajinga,misinformed ,wale wanaoishi ktk remote areas ambako hakuna wa huduma ya mtandao wa internet, basi kuna kila sababu ya kukiondoa chama hiki madarakani.kwasababu vipaombele ambavyo CCM huvitumia kubaki madarakani,haviendani na mahitaji ya sasa ya kidunia".
labda utakuwa unaongelea wenye akili timamu wanao shinda/ishi ktk maeno ambayo hayana access ya internet,lakini kama unatuongelea sisi ambao kwetu huduma ya internet inapatikana,tulifanya hivi leo.
![]()
![]()
tayari wameshakaaa mkuu.chezea za chembe weweee.😛hoto:Bado hawaamini kinachoendelea
fikra za kinyonge hizo.hazina nafasi kwa sasa."namba" hazikuruhusu kuwaondoa madarakani kwa sasa ndugu yangu, zinakuwezesha kuwatetemesha tuu,,,
Kumbe umetembelea vijiweni! Watu wenye akili timamu wanashinda vijiweni?
unasahau tu kua miaka yote ushindi wa hawa jamaa hua hawautegemei mjini,,, kuna watu huku madongo kuinama hawajui kingine zaid ya nyerere kua ndo rais mpaka keshokutwa na hawa ndo wapiga kura sio hawa jamaa wa kujificha chini ya vitz na kwenda tu gym,, hua hawapigi kura hawa mashoga na hata wakipiga ni wachache tu,,, ielewe sayansi ya namba ndugu yangu
fikra za kinyonge hizo.hazina nafasi kwa sasa.