inols
JF-Expert Member
- Sep 22, 2010
- 283
- 98
- Thread starter
- #81
Watanzania tusiwe wepesi wa kusahau huyu bwana Edo ni lini alikuwa msafi. Kama mna jamaa zenu halmashauri waulizeni alivyokuwa ana wasumbua kwa kuomba pesa kwa nguvu kutoka kwa wakurugenzi
Kwa vigezo vya usafi wa kiongozi vinapimwa na nini?
Wapi ulishaona uongozi wa wanadamu ukitawaliwa na malaika?
Hivi wewe hujachoshwa na utawala wa kiimla wa C.C.M?????? Wassira mpaka leo ni mbunge na bado anang'ang'ania ubunge hata kwa gharama ya kulazimisha ushindi wa kura za maoni chini ya ulinzi mkali. Hivi wewe unaona haya yote ni sawa????
Tunachoitaji kutoa mfumo C.C.M, wakae pembeni, wajitathimini, waone makosa yao, ili wakirudi madarakani watutumikie kwa unyenyekevu kama wanaoonyesha wakiwa wanaomba kura ambapo hadi watoto wadogo wanasalimiwa.