nyapinyapileo
Member
- Oct 19, 2022
- 93
- 215
Wana JF Salaam,
Naenda kwenye Usaili TASAF Dar es Salaam weekend hii. Usaili ni Jumatatu na Jumanne wiki ijayo(nafasi ni Ukurugenzi wa Idara moja pale TASAF). Kwa kuwa nasafiri umbali mrefu kutoka huku Kigoma mwisho wa Reli mpaka Dar, natumia gharama kubwa.
Nimejiandaa vizuri, lakini nina wasiwasi kama hawa jamaa hawana mtu wao wa ndani hivyo sie wengine ni geresha tu kutupotezea muda na pesa. Nawaonya TASAF mtende Haki maana natumia gharama kubwa kuja huko, ole wenu mpendelee NITAWAROGA Menejimenti nzima. Ole wenu
Naenda kwenye Usaili TASAF Dar es Salaam weekend hii. Usaili ni Jumatatu na Jumanne wiki ijayo(nafasi ni Ukurugenzi wa Idara moja pale TASAF). Kwa kuwa nasafiri umbali mrefu kutoka huku Kigoma mwisho wa Reli mpaka Dar, natumia gharama kubwa.
Nimejiandaa vizuri, lakini nina wasiwasi kama hawa jamaa hawana mtu wao wa ndani hivyo sie wengine ni geresha tu kutupotezea muda na pesa. Nawaonya TASAF mtende Haki maana natumia gharama kubwa kuja huko, ole wenu mpendelee NITAWAROGA Menejimenti nzima. Ole wenu