GE2025 Tarime wananchi wanaandamana wakitaka John Heche aachiliwe huru

GE2025 Tarime wananchi wanaandamana wakitaka John Heche aachiliwe huru

Matukio, Taarifa, Habari na Mijadala ya Wananchi WAKATI wa Mchakato wa Uchaguzi Mkuu 2025
acha uwoga wewe kaa mbele risasi kitu gani, tunaishi mara moja
Kwa upande wangu sipendi tufike huko. Maana tutauana watanzania na tunachogombea ni kitu kimoja japo hatuelewani lugha kwasababu za kimasilahi.

Sote lengo letu ni kulijenga taifa letu angalau watoto na wajukuu wetu waje wafurahie mema ya baba zao
 
Kwa upande wangu sipendi tufike huko. Maana tutauana watanzania na tunachogombea ni kitu kimoja japo hatuelewani lugha kwasababu za kimasilahi.

Sote lengo letu ni kulijenga taifa letu angalau watoto na wajukuu wetu waje wafurahie mema ya baba zao
kama unayajua hayo why uhamasishemaandamano
 
Mambo kama yameanza kunoga hivi! Huko Tarime watu wanapia tizi la nguvu kuelekea Oktoba 29. Leo wameanza kumtaka Heche achiliwe uhuru.

Polisi na vyombo vya ulinzi na usalama salamu ziwafike sasa!
================

Muda huu Tarime wananchi wanaandamana wakitaka John Heche aachiliwe huru na watu waliotekwa waachiliwe huru


27 October 2025
Habari za ndani baada ya Tanzania kuwa na hali ya kisiasa inayoweza kuchafuka kuharibu Royal Tour


View: https://m.youtube.com/watch?v=OwZqOh2I0kE
 
Eti unauliza risasi kitu gani mpuuzi sana wewe.
Imebaki siku moja tu na hamna risasi utapigwa,
utachokipata utasimulia ukoo wako wote maisha.
Tar 29 kesho na usipohudhuria utafuatwa,
mbweha wewe.
 
Mambo kama yameanza kunoga hivi! Huko Tarime watu wanapia tizi la nguvu kuelekea Oktoba 29. Leo wameanza kumtaka Heche achiliwe uhuru.

Polisi na vyombo vya ulinzi na usalama salamu ziwafike sasa!
================

Muda huu Tarime wananchi wanaandamana wakitaka John Heche aachiliwe huru na watu waliotekwa waachiliwe huru

Tarime ndiyo kawaida yao, ndiyo maana kunaitwa kanda maalum. Vichwa vimepinda tangu wakiwa matumboni mwa mama zao. Bangi wanavuta kuanzia watoto wa nursery
 
Kwamba ule mchakamchaka wa wavuta bange ndio maandamano yenyewe mnayokesha kutuaminisha au???
 
Mambo kama yameanza kunoga hivi! Huko Tarime watu wanapia tizi la nguvu kuelekea Oktoba 29. Leo wameanza kumtaka Heche achiliwe uhuru.

Polisi na vyombo vya ulinzi na usalama salamu ziwafike sasa!
================

Muda huu Tarime wananchi wanaandamana wakitaka John Heche aachiliwe huru na watu waliotekwa waachiliwe huru

Kumeanza kuchangamka
 
Mambo kama yameanza kunoga hivi! Huko Tarime watu wanapia tizi la nguvu kuelekea Oktoba 29. Leo wameanza kumtaka Heche achiliwe uhuru.

Polisi na vyombo vya ulinzi na usalama salamu ziwafike sasa!
================

Muda huu Tarime wananchi wanaandamana wakitaka John Heche aachiliwe huru na watu waliotekwa waachiliwe huru

Wameshiba ugali hao
 
Back
Top Bottom