GE2025 Tarime wananchi wanaandamana wakitaka John Heche aachiliwe huru

GE2025 Tarime wananchi wanaandamana wakitaka John Heche aachiliwe huru

Matukio, Taarifa, Habari na Mijadala ya Wananchi WAKATI wa Mchakato wa Uchaguzi Mkuu 2025
Tuliwaambia na bado subiri kivumbi Cha tarehe 29
Kwanini usianze kuandamana leo unajificha kwenye kichaka cha tarehe 29 ukifikiri ni mbali sana ? Bado siku 1 tutakuona ukiendelea kupiga mikwara mtandaoni
 
mbona unawahi kuomba polis wasitumie nguvu vipi unaogopa risasi mkuu
Siogopi risasi ila kuua mtu ambaye hana siraha haileti afya. Hiyo ni moja kati ya njia za kusemea mihemko yao.

Kama hao waandamanaji wakiamua kufa, basi watakufa na polisi. Kitu ambacho sitaki kitokee.

Tutatishana na kuumizana ila kama moto utawaka nchi nzima, haitakua historia nzuri kwa taifa letu
 
Siogopi risasi ila kuua mtu ambaye hana siraha haileti afya. Hiyo ni moja kati ya njia za kusemea mihemko yao.

Kama hao waandamanaji wakiamua kufa, basi watakufa na polisi. Kitu ambacho sitaki kitokee.

Tutatishana na kuumizana ila kama moto utawaka nchi nzima, haitakua historia nzuri kwa taifa letu
acha uwoga wewe kaa mbele risasi kitu gani, tunaishi mara moja
 
Back
Top Bottom