Muke Ya Muzungu
JF-Expert Member
- Jun 17, 2009
- 3,444
- 265
Habari nilizozipata hivi punde toka Tarime mjini ni kwamba, kuna ujumbe wa SMS unaosambazwa kuwahimiza wananchi kuamka na kuanza ukombozi. Wamepanga maandamano Alhamisi inayokuja na Ujumbe niliotumiwa unasomeka hivi
"CCM CHADEMA Tarime ni yetu. Alhamisi tunakutana Buhemba saa 3. Sasa CCM na polisi watuue wote, tumechoka na unyanyasaji wao na umaskini. Barik Gold na Mchina wakachimbe dhaabu bagamoyo"