Mjanga
JF-Expert Member
- Feb 13, 2011
- 1,238
- 325
WEWE kweli unaijua Tarime?? after all hakuna wilaya inayoitwa Buhemba: Hiyo Geography yako nafikiri ni ya mwaka 2025 ambayo haijafika! Kuuliza siyo ujinga; jifunze kujifunza kupitia kuuliza!
Duuh! Hivi mitambo ya analojia bado haijazimwa kwako??
Duuh! Hivi mitambo ya analojia bado haijazimwa kwako??
Huu ni uchochezi wa Chadema kutaka Nchi isitawalike kama walivyosema awali, mimi nafikiri mganga wao kawadanganya sana kwani kila kukicha wanahamasisha maandamano na madhara yake Watanzania wasio kuwa na hatia wanakufa. Tarime na Buhemba ni Wilaya mbili tofauti na zipo mbali mbali, je mtoa maada anatuhadaa yeye akiwa Dar sisi tuumie huku wao wanagawana pesa?. Wakurya huwa hatudanganyiki na ndo maana tukiamua kufanya kitu tunatenda kweli bila kuogopa. Acheni uchuro wenu wa kutuchonganisha tuanzekupigana tena.