Fursa Pesa
JF-Expert Member
- May 30, 2012
- 4,633
- 3,534
Sasa naanza kupata shaka juu ya amani ya nchi.
Nahisi hata wale kwa namna moja au nyingine waliojirimbikizia mali za umma hawana raha tena na mali hizo.
Natumaini kwa sasa passport za kusafiria ni kama dhahabu ya karatasi.
Anyway mnaweza kuamka kudai haki,lakini mkasahau wajibu wenu na hiyo haki ikaonekana kama ni janga lingine litakalotufanya kukosa amani milele hasa kwa wanawake na watoto.
Nahisi hata wale kwa namna moja au nyingine waliojirimbikizia mali za umma hawana raha tena na mali hizo.
Natumaini kwa sasa passport za kusafiria ni kama dhahabu ya karatasi.
Anyway mnaweza kuamka kudai haki,lakini mkasahau wajibu wenu na hiyo haki ikaonekana kama ni janga lingine litakalotufanya kukosa amani milele hasa kwa wanawake na watoto.