Tarime Wanaandaa Maandamano

Tarime Wanaandaa Maandamano

Sasa naanza kupata shaka juu ya amani ya nchi.


Nahisi hata wale kwa namna moja au nyingine waliojirimbikizia mali za umma hawana raha tena na mali hizo.

Natumaini kwa sasa passport za kusafiria ni kama dhahabu ya karatasi.

Anyway mnaweza kuamka kudai haki,lakini mkasahau wajibu wenu na hiyo haki ikaonekana kama ni janga lingine litakalotufanya kukosa amani milele hasa kwa wanawake na watoto.
 
Mi nawaunga mkono kuwaondoa hao wachina Nyamongo. Kama huna panga anza kununua
 
habari nilizozipata hivi punde toka tarime mjini ni kwamba, kuna ujumbe wa sms unaosambazwa kuwahimiza wananchi kuamka na kuanza ukombozi. Wamepanga maandamano alhamisi inayokuja na ujumbe niliotumiwa unasomeka hivi

nawatakia wanatarime mapinduzi mema...
 
Sera ya majimbo aitosaidia rasimali za taifa kutumiwa sawa labda mikoa wajitoe tanzania na waweke sera zao za ujamaa, but if the central government still has a role of drawing up national policies and keep embracing the current mixed economy policies, wenye pesa watawekeza wanavyotaka wao na kwa kuzingatia business strategy zao na huwezo wao.

Kama kungekuwa na soko la unga wake huko kusini huyo baresa sidhani kama angefikiria mara mbili kwanza it would have been cheaper kwake kufungua kiwanda na kuokoa gharama za usafirishaji, considering many only live their lives hands to mouth huko kusini it is waste of money to open up a plant in those areas and same applies as building up a power plant in Mtwara, whereby the infrastructure in Dar es Salaam is ready and capable of accommodating the new transformation of production at the cheapest cost.

Watu wanafanya vitu kwa mipango na realistic returns on their investment na si porojo na kuongopeana, hizo sera za majimbo zitawapa watu hela za kuinvest au itamzuia mchaga mwenye hela zake kuacha kwenda kuchukua bidhaa mkoa fulani kwa biasharaa zake. How is this supposed to help the local communities embu toteleeni pumba hapa.
Naunga mkono hoja, sera ya majimbo bado ina walakini mkubwa sana.
 
lakini simnakumbuka yaliomkuta Nyambari Nyangwine?
 
Next Arusha wataifishe ngombe za lowasa na Mali zake, hotel ya Vasco na waarabu Serengeti, mererani na mlima meru alafu ifate bagamoyo minazi na mananasi Yao yasiuzwe chalinze wala kusafirishwa mpaka kieleweke
 
aisee mura kikinuka.huko.ujue nchi.inapinduliwa ogopa watu wanaokimbilia sehemulio wa risasi.unapotokea badala ya kukimbia wanazifata waulize wale walinda amani.wakati wa wanchari na warianchoka walichokipata.... Mungu.tuepushe.
 
Habari nilizozipata hivi punde toka Tarime mjini ni kwamba, kuna ujumbe wa SMS unaosambazwa kuwahimiza wananchi kuamka na kuanza ukombozi. Wamepanga maandamano Alhamisi inayokuja na Ujumbe niliotumiwa unasomeka hivi
mererani nako wanajiandaa,maana haya ni madini pekee yanayopatikana hapo
 
Huu ni uchochezi wa Chadema kutaka Nchi isitawalike kama walivyosema awali, mimi nafikiri mganga wao kawadanganya sana kwani kila kukicha wanahamasisha maandamano na madhara yake Watanzania wasio kuwa na hatia wanakufa. Tarime na Buhemba ni Wilaya mbili tofauti na zipo mbali mbali, je mtoa maada anatuhadaa yeye akiwa Dar sisi tuumie huku wao wanagawana pesa?. Wakurya huwa hatudanganyiki na ndo maana tukiamua kufanya kitu tunatenda kweli bila kuogopa. Acheni uchuro wenu wa kutuchonganisha tuanzekupigana tena.


Acha Malaria, kwa kusema ukweli Tarime tumelala. Madini yetu yanatajirisha bagamoyo wakati mji wa tarime hamna kinacholendelea. Kama ni Chadema wamewaamsha watu basi bora tungekuwa na Chadema kama 100. Taarime, Mwanza na kanda ya ziwa yote aamkeni tuokoe wajukuu wetu. Tutawaachia nini?
 
takwim. polis watatu ni sawa na mtalime 1( vita ni vita muraaaaaaaaaaaaaaaaa
 
Buhemba haiko Tarime Iko Musoma:Lakini yote kwa yote kama jambo hilo lipo safi sana,na Geita waandae Maandamano Kudai dhahabu yao.Itakuwa Tamu kwelikweli yani kila kona itakuwa patashika mpaka wadhulumati wakimbie wenyewe.
 
Huu ni uchochezi wa Chadema kutaka Nchi isitawalike kama walivyosema awali, mimi nafikiri mganga wao kawadanganya sana kwani kila kukicha wanahamasisha maandamano na madhara yake Watanzania wasio kuwa na hatia wanakufa. Tarime na Buhemba ni Wilaya mbili tofauti na zipo mbali mbali, je mtoa maada anatuhadaa yeye akiwa Dar sisi tuumie huku wao wanagawana pesa?. Wakurya huwa hatudanganyiki na ndo maana tukiamua kufanya kitu tunatenda kweli bila kuogopa. Acheni uchuro wenu wa kutuchonganisha tuanzekupigana tena.
Mura kana wewe wa hai mura??? Buhemba ni kata ya TARIME mura..........
 
Huu ni uchochezi wa Chadema kutaka Nchi isitawalike kama walivyosema awali, mimi nafikiri mganga wao kawadanganya sana kwani kila kukicha wanahamasisha maandamano na madhara yake Watanzania wasio kuwa na hatia wanakufa. Tarime na Buhemba ni Wilaya mbili tofauti na zipo mbali mbali, je mtoa maada anatuhadaa yeye akiwa Dar sisi tuumie huku wao wanagawana pesa?. Wakurya huwa hatudanganyiki na ndo maana tukiamua kufanya kitu tunatenda kweli bila kuogopa. Acheni uchuro wenu wa kutuchonganisha tuanzekupigana tena.
kwenye red:
1.Sikubaliani na wewe kuwa huu ni uchochezi wa CHADEMA - wote tunafahamu issue ya mtwara inaungwa mkono na wanachama wa vyama vyote, tena yaliongozwa na mbunge wa CCM (mtwara mjini, pia siyo kweli kuwa watanzania wa sasa/leo hawaelekezwi cha kufanya isipokuwa wanajua kila jambo na ufahamu wao umeongezeka. Hata sitashangaa nikikutana nao njiani wakielekea magogoni.
2. Inawezekana wewe ni mkurya ambaye haishi tarime au ulishaishi Mara na unajifanya ni mkurya ama huwa unafuatilia mambo ya wakurya/mara kwa uvivu - kuna wilaya ya Tarime ila hakuna wilaya Buhemba. Ila kuna Buhemba mbili (moja ni kitongoji/mtaa upo tarime mjini) katika wilaya ya Tarime (mjini), Buhemba ingine ni eneo lililopo wilaya ya Butiama (zamani musoma vijijini), lipo karibu na Butiama, Lwamkoma, buhemba na Bumangi - ni maarufu sana katika ile issue ya Meremeta (machimbo ya dhahabu.
3.
Kwenye Blue: Nakubaliana na wewe kuwa wakurya hawadanganyiki - hivyo inawezekana kabisa wakawa na mpango wa kulianzisha kama mleta mada alivyobainisha, nadhani tusubiri, kama haitatokea leo basi ninaamini wanawezafanya kesho​
 
waswahili husema ukicheza na ngedere utavuna mabua. Haya ndo matokeo ya kuzichekea fujo na vurugu zinazofanywa na wanamtwara. Next time tutasikia mikoa ya kusini nayo imezuia mahindi yao yasitoke hadi Azam akajenge kiwanda cha kusindika sembe kule. Mwisho wa siku nchi itakuwa vipande vipande. Kama vipi tukubaliane na sera ya majimbo ya CHADEMA ili tuishi kwa amani. Though wasi wasi wangu ni kwamba mikoa iliyobarikiwa kuwa na rasilimali nyingi zaid itakuwa na advantage kuliko ile ilyo mikame kama vile Sindida na Dodoma.

Bora hivyo kwa sababu mwisho wa siku wanaonufaika watakuwa watanzania kuliko hali ilivyo sasa!
Hali ni mbaya kila sehemu huku wakinufaika wale walio wezi kati yetu katika mwavuli wa kujiita viongozi, wanasahau wako hapo walipo kwa kura zetu!
Hawana shukrani, natamani wangechomewa humo maofisini! Bloody fools!
 
kinachosikitisha hapa sio haya matokeo ya fujo na uaribufu wa mali za watu, bali watu wanakuja na vitisho vya wazi serikali badala ya kujipanga mapema na kuwa tayari ku-deal na any circumstances if things ever spiral out of control. wao bado wanachukulia upepo, tusipoangalia soon hizi ghasia zitatuingiza kwenye state emergency na jeshi lije kutoa kibano.

I mean we are not dealing with armed rebels it is just Tanzanians for the first time may be in our history are beginning to question their rights, the method untested yet within but surely they must be contained. Ni vitu vya kawaida sana hata nchi zenye liberal democracy haya mambo kutokea, wao wameshajifunza not to take chances with may-day marches or on G8 summits protests. Tatizo ni wahusika kufanya vitu kimzaa, kwengine duniani hao hawasumbui hawana silaha na jeshi na polisi bado wapo upande wa serikali ni mkwara heavy arudi mtu.

Mwisho wa siku viongozi wakubali their days as mafisadi without being challenged or questioned are numbered, people can longer tolerate poverty and left ignored by their government.

Ongea kiswahili hakuna ulazima kuongea English usiyoweza,nenda hata tution
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom