Ubumuntu
JF-Expert Member
- Oct 21, 2010
- 14,387
- 10,965
Binafsi, hamjanishawishi bado.
Mzee hakuna anaeshawishiwa kuandamana. Shida na ugumu wa maisha,rushwa iliyokithiri serikalini,wanasiasa na viongozi kutajirika kupindukia,serikali kukosa dira na ufujaji wa rasilimali na maliasili zetu ndizo zinanishawishi mimi nitake kuandamana.
Kama huna shida,ugumu wa maisha au huoni hayo ya juu,mkuu huwezi kuandamana! Utasubiri kushawishiwa mpaka kaburini!
