Tarehe/siku nzuri kwa mimba kuweza kutungwa

Kuna kitu kikubwa nimejifunza hapa.
Ikumbukwe mada hii ni kw wanandoa tu vngnevyo uzinifu ni dhambi kubwa sana!
 
Jamani mm kijana nwenzenu nataka mtoto ila wife mzunguko wake unachanganya kiasi sijui ipi siku ya hatari mzunguko wake uwa unakuwa mrefu mpaka siku 34 mpaka miezi miwili sometime na uwa inabadilika kila mwezi kila nikimsoma nashindwa wenye kujua nisaidieni nataka na mm niitwe baba jamani
 
Siku za hatari inakuwa ni siku ya 13(kuanzia siku anayopata period) hadi siku ya 17, au unaweza kuhesabu kwa kurudi nyuma,
Ile siku anayopata period basi ifanye ndo yakwanza then jana yake ifanye ya pili, juzi yake ifanye ya tatu, endelea ivo ivo mpaka zifike siku 15. Hiyo ya 15 ndo ya hatari
 
If you have longer cycles, say 35 days between periods, ovulation happens on day 21 and the most fertile days are days 19, 20, and 21.

Kwa hiyo hizo siku hapo ndio unapaswa kuweka mbegu
 
Chàkufanya ,,kwanza mkeo ni Muasirika wa madawa yakuzuia utungaji mimba, hilo 1, pili anatakiwa akasafishe kizazi, nakupumzika asitumie tena hayo madawa ,kisha kampime kama kizazi bado kizima au laah, màji upokee wewe mwenyewe mambo mengine baadaye.
 
njia za kumpa mwanamke mimba ni kumwingizia mbegu kwa sindano na kumwingizia dushe lenye mbegu nzima. sasa chagua iliyo rahisi kwako
 
Hakikisha dyudyu yako inazama sehemu zake za uzazi na uwe na uwezo wa kumwaga mbegu humo ndani kwake wakati yupo katika siku zake za HATARI
 
Back
Top Bottom