OSOKONI
JF-Expert Member
- Oct 20, 2011
- 10,965
- 5,336
Hakuna jinsi apigwe tuuKwa uandishi huu yamemfika mwenzetu
Hakuna jinsi apigwe tuuKwa uandishi huu yamemfika mwenzetu
Hahahaha kwa kweliKwa uandishi huu yamemfika mwenzetu
Au anataka kumbananisha ammimbe amkomoeTeh teh....lnawezekana kaletewa taarifa za Mimba na x wake ndo anataka kuona kama hesabu zinaenda sawa
Naomba radhi kwa kutumia neno x maana ya ngu nimpenzi wangu nilihitani kufahamu mengi zaidi kupitia maelezo niliyoandika chochote kinacho muhusu yeye nqmi nahusika
hahaasoma hapo
Hatuja achana nahitaji kujua kwani kosalangu nikuuliza sioww suala la x wako kupata ujauzito linakuhusu nn na mlisha achana.au unataka kumkomoa acha upuuuzi dogo
Sasa kama hamjaachana kwanini umesema ni X wako? Si ungesema mpenzi wako mkuu!!Hatuja achana nahitaji kujua kwani kosalangu nikuuliza sio
Alipata hedhi tar.29 nami nimekutana nae tar.21Hesabu siku ya kwanza kupata hedhi had ya kumi hapo ni salama, siku ya 11 Hadi ya 18 ni hatari anaweza kupata mimba
Mke wangu amekua na Menstruation cycle ya siku 30,lakini mwezi uliopita imebadilika imekua 42days na abnormal bleeding...hapa nitaweza kuhesabu tena,naomba ushauri...Hello, mimi huwa nakaa sana vijiweni saa zangu za mapumziko baada ya kazi, na mara nyingi huwa naongea issues nyingi sana na washikaji. Na kama kuna issue ambayo nimeona imeleta ubishani sana, huwa nakuja kuileta huku.
Tulikuwa tukijadili jambo moja hivi, kwaba, ni lini mwamke anaweza akapata mimba? Mimi kwa uelewa wangu niliwaambia ni siku ya kumi na tatu au kumi na nne after menstrocycle. Wengi walibisha, pamoja na kwamba hizo ndo prabable days za ku conceive. Wengi wanasema hata siku nyingine zinaweza, ila mimi kulingana na uelewa wangu, nilikuwa naelewa hivyo kwasababu watoto niliopata sijui kama nilifanya hizo siku au la, nilikuwa nadukua tu mara kwa mara mwezi mzima.
Walinibana swali moja kwamba, unaanza kuhesabu lini, yaani utaanzia siku gani kuhesabu hadi zifikie siku hizo hapo juu, unaanza kuhesabu siku ya kwanza ya bleed ndo siku ya kwanza au siku ya mwisho wa bleed ndo siku unayoanza kuhesabu? Mimi niliwaambia ni siku ya kwanza unapoanza kubleed.
Naomba kama kuna madaktari humu watoe elimu hapa kwasababu najua watu wengi wataelimika hapa, na wengi wanaweza kuepuka hata mimba zisizo na malengo.
alie ongea hapo juu kwamba sijui asinywe peps au sprite ...sio vzr kama hujui usichangie maada...
nakushauri ...hesabu siku 5 za yeye kwenda health...then sikusaba baada ya health..ambazo ni salama. hapo tena siku 7mpaka nane kama yupo tu vzr katika siku 7hizo lazima apate mimba aki share sex...kama huto jali call 0755229028