Tapeli yamtokea puani, tumbo lajaa maji

Tapeli yamtokea puani, tumbo lajaa maji

watz bhana sijui tunakwama wapi
Nilikua natafuta kuona kama kuna mtu kashtukia huu mchezo
Kila kitu ukikiona mtandaoni kama kina husu pesa na wewe hujaelewa dhumuni lake basi unasema ni mtego wa wizi..haya endelea na mentality zako. mimi sijakaribisha mtu yoyote PM hata akija sijui lolote kuhusu uyo tapeli ishu ni kama yupo alie fanya ayo manyanga i hope atakua anamjua mhanga wake uzi ume mlenga uyo alie fanya aende kumsaidia hali isha kua tete sasa wizi apo ukwapi?
 
watz bhana sijui tunakwama wapiKila kitu ukikiona mtandaoni kama kina husu pesa na wewe hujaelewa dhumuni lake basi unasema ni mtego wa wizi..haya endelea na mentality zako. mimi sijakaribisha mtu yoyote PM hata akija sijui lolote kuhusu uyo tapeli ishu ni kama yupo alie fanya ayo manyanga i hope atakua anamjua mhanga wake uzi ume mlenga uyo alie fanya aende kumsaidia hali isha kua tete sasa wizi apo ukwapi?
Wewe ume copy na ku paste. Ile number pale kwenye story haijawekwa bahati mbaya.
 
Wewe ume copy na ku paste. Ile number pale kwenye story haijawekwa bahati mbaya.
Kwani unataka kusema lengo lake haswa ni nini?
Kwan kaomba mumchangie pesa?
 
Nimeanza na huyu natahadharisha na wengine watakwokula hela yangu kitakachowapata watalrta humu.
 
cheee!!!
Ukome kabisa mm mmojawapo ulinitapeli, kama unataka kupona nirudishie hela yangu, nadhani unsikumbuka namba hii 0715274727
kama unamapenzi mema na tapeli wako mtafute apo mkuu namba zake zipo mmalizane ila msaidie aise yupo tayari kukufidia na samsung juu
 
Mbona huu ndio utapeli wenyewe sasa!
Mtu akijichanganya tu? Anafanyiwa kweli!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom