kurlzawa
JF-Expert Member
- Jan 23, 2018
- 16,694
- 20,648
nakazia kwenye comment yakoUna maanisha katerero??
nakazia kwenye comment yakoUna maanisha katerero??
Hivi huwa najiuliza, inakuwaje mtu akwambie anauza kifurushi kwa bei nafuu kuliko mzalishaji mwenyewe, hawa wananunua wapi mpaka watuuzie kwa bei nafuu na ya kutupa kuliko mzalishaji mwenyewe?, ukijiuliza kama mimi hili la kutapeliwa vifurushi halitokupata kamwe.Sio utapeli mpya uo utapeli upo mda tuu mkuu ni wale wanakwambia pata vifurushi kwa bei nafuu (tigo,voda, halotel au airtel) na unakuta package imejaa GB,Dakika na SmS za kutosha kwa bei chee alafu ni kwa mwaka mzima sasa jamaa kaingia mkenge alitaka kutapeli mtu kumbe huduma yenyewe hana na mwizi.Ukisikia kenge kaingia mkenge ndio iyo sasa
Kuna mmoja na yeye jana kaokolewa na askari pale msimbazi karibu na fire, yeye baada ya kushtukiwa akakimbilia msikiti wa makonde akaingia ndani akapanda ghorofani kwa hiyo wanachi wakajaa hapo nje ,ilibidi polisi waje fasta wakapanda juu ghorofani wakamchomia wakasepa naye.Kitu kama hiki kimetokea kama wiki imepita pale mbezi kwa msuguli.
Nilikuwa natoka zangu mbezi Mwisho naelekea ubungo, nafika pale mbezi kwa msuguli naona pembezoni mwa road kuna dogo anafinywa, anachezea kichapo. Kwa haraka haraka alionekana hazidi miaka 20, ni kadogo mno hadi muonekano.
Ikabidi nikatoka road, nikasogea. Sasa ile nashuka naona naratibu watu wanasogea zaidi na silaha walizozipata kwa urahisi, mwenye jiwe, fimbo, tairi na wengine wakigeuka Tyson. Nilicho waza ni kumchomoa kwanza ili nisikie nin chaendelea, maana raia unaweza kuta wanaua hata mtu bila hatia kisa, hata kasingiziwa mwizi na binti waliye kwazana tu.
Ikabidi nami nikajiunga kumsukum sukuma dogo, na kumpiga kofi za mgongoni, kumshtua tu pia raia wasiweke upinzani wa awali namimi. Vuta mkanda kijana wa huyo dogo nikamweka, biti kidogo kwa washkaj wale boda boda watulie.
Haikiwa rahisi kama mwalimu wa darasa kuwatuliza watoto wa shule ya msingi. Lakini shukrana iliwezekana. Story ilivyoenda dogo ni kweli aliiba tigo pesa, alifanya utapeli kwa kuelekezwa na watu walikuwa wamepaki pembeni na gari, baada ya tukion kunuka, wale wakakimbia na gari.
Kufupisha hadithi dogo nilimtoa hapo, lakini kubwa zaidi watu wawe makini mno, wizi wa tigopesa bado upo, mbinu nyingi lakini ya kijinga zaidi ambayo unaweza kujinasua nayo ni kuwa usitume pesa bila kupewa pesa kwanza.
Maana dogo alipoona mbinu elekezi zimegoma ndio akaomba awekew fedha, ilipowekwa akajifnaya amesahau kwenye iliyopaki, wale wa gari walipo wekewa hela waka washa gari kumsubili dogo kwa mbele, ndipo alipodakwa sasa na wadau.

woi
Mimi sijui lolote kuhusu uchawi mkuu wala ata sipromoti biashara ya mtu..uyo jamaa apo yamemkuta anaomba alie mfanyia yaliyo mpata amsamehe na amrudishie hali yake ya awali...ivyo tuMleta uzi hautupati..Najua umetega ili watu waje wasaidiwe kuwakomesha wezi wao ....Tumestuka
Hivi huwa najiuliza, inakuwaje mtu akwambie anauza kifurushi kwa bei nafuu kuliko mzalishaji mwenyewe, hawa wananunua wapi mpaka watuuzie kwa bei nafuu na ya kutupa kuliko mzalishaji mwenyewe?, ukijiuliza kama mimi hili la kutapeliwa vifurushi halitokupata kamwe.
Tuache kupenda miteremko ndo maana wengi wetu tunaumizwa.
Naaam, ukiingia kingi tu umeliwa, mara nyengine matapeli hutumia njia mfano wa hii sasa kama wewe ushapigwa na bado una kiwewe hasira na mawenge ya kupigwa ni lazma uingie pm kuanza kuulizia aliye mjaza maji huyo tapeli anapatikana wapi ili nawe ukamchome sindano aliyekutapeli, kumbe unakwenda kumalizwa na tapeli mwengine.
Kaa mbali ukishaumizwa, jigange majeraha yako, jipange upya anza upya tayari ushapatata somo.
😎😎😎😎😎😎Wale matapeli mje mjifunze kwa mwenzenu yamemkuta ya kumkuta na wewe ulie fanya hii msaidie mwenzio acha roho mbaya..
Za mwizi ni 40 hatimayeView attachment 1217126
Aache ung'ombe uyo pimbi aende hospital fasta akatibiwe ,hawa matapeli wanapataga shida sana ata wakiumwa mafua tu wanajua mahakama za jadi zimehukumu tiari . Kuna boya mmoja kariakoo juzi kati aliugua ghafra miksa kuishiwa nguvu ghafra jamaa akaanza kutoa wosia kwamba ugonjwa wake sio wakupona yeye niwakufa full kuwaomba wana waangalie familia yake pind atakapo ondoka hilo wenge lote kumbe alimliza mtu af akapigwa mkwara wa kiafrika alivyo develop tu hizo symptoms akajua kweli wahuni sio watu kumbe dengue ndio ilikua inamuandama muhuni yule .


...kawaida ya mali ya wiziMwambie bado kushushwa busha,.kila kiungo chake cha mwili kitajaa maji awe kama ziwa nyasa,.





wee fwalaaaa sanaUnaishi kwa mashaka balaa...kawaida ya mali ya wizi
😝😝😝😝wee fwalaaaa sana