waziri2020
Senior Member
- May 31, 2019
- 190
- 451
Tunaomba Mamlaka zinazoshughulika na masuala ya Tiba asili mshughulike na huyu jamaa anayejiita Dk Maiko anasema kazi zake na Ofisi ziko jijini Dar.
Huyu kijana amekuwa akijitambulisha sehemu mbalimbali kwamba Anatibu Ukimwi kwa sh elfu 30 tu na anatapeli pesa za watu maeneo mbalimbali watu wanalia na sasa amekimbilia Dar. Tunaomba mamlaka husika zimsake na kumfanyia UOA hizo kama kweli ana Vivaldi na anatibu Ukimwi kwa sh elfu 30 tu maana huyu anawaliza wengi Sanawari .
Polisi ,Takukuru, Mamlaka ya Tiba Asilia na vyombo mbalimbali kazi kwenye.
Hapa chini ni ujumbe ambao amekuwa akiwatumia watu kupitia Miranda Otto mbalimbali ya kijamii.πππππππ
Dokta maiko niko dar es salam natibu magonjwa yalioshindikana nakutangazia kwamba kuna watu wamepona ukimwi kupitia dawa zangu karibuni sana ugonjwa wa ukimwi unatibika dozi niyasiku 30
Huyu kijana amekuwa akijitambulisha sehemu mbalimbali kwamba Anatibu Ukimwi kwa sh elfu 30 tu na anatapeli pesa za watu maeneo mbalimbali watu wanalia na sasa amekimbilia Dar. Tunaomba mamlaka husika zimsake na kumfanyia UOA hizo kama kweli ana Vivaldi na anatibu Ukimwi kwa sh elfu 30 tu maana huyu anawaliza wengi Sanawari .
Polisi ,Takukuru, Mamlaka ya Tiba Asilia na vyombo mbalimbali kazi kwenye.
Hapa chini ni ujumbe ambao amekuwa akiwatumia watu kupitia Miranda Otto mbalimbali ya kijamii.πππππππ
Dokta maiko niko dar es salam natibu magonjwa yalioshindikana nakutangazia kwamba kuna watu wamepona ukimwi kupitia dawa zangu karibuni sana ugonjwa wa ukimwi unatibika dozi niyasiku 30