MakondooMadereva ndiyo nani????
Sio rahis Mimi geniusTunazaa mtoto kilaza😃
Umebadili mawazo etSio rahis Mimi genius
😂😂Umebadili mawazo et
Sawaa😁
Siyo kufa bali kukolimbwaHafi mtu hapa mpaka 2030
Lete vitafunwaChai
Unpuzzling the puzzle.The KM ndie alimtoa yule Blaza na kumuweka maza, na kwa vile Balozi ni mtu wake, Maza kaonyesha anamtaka Maskafu, hivyo wakamshauri akae mbali na The KM, maza akamuweka KM pembeni kiaina, ili kumfagilia njia maskafu ndie ampokee! Na sasa Madereva naye kaujua mchezo anajisogeza kwa Maskafu. The KM akaamua then itambidi Maza apishe njia kabla ya 2030, hivyo yule Mkoko kumuita Balozi Iskariote, ni kumaanisha anataka kumsaliti maza ili yeye akalie kiti.
Ndani kumefukuta sana wanacheka usoni Ila ndani pa moto, walinzi wawili wa Balozi nao amewashtukia watabadilishwa soon kuna investigation.
Nimerejea rasmi likizo imeisha
Za ndaaaaaaniiii ✍🏻✍🏻✍🏻✍🏻
Britanicca
Fala huyo jamaaHua nawashangaa sana watu wanaoamini stori zako🤔
KM ni Kikweye Mrisho with typing errorCode ya KM
Inakuja inakata
Watu wanasema maskafu ni damu ya msoga one.Unpuzzling the puzzle.
The KM (Msoga) ndie alimtoa yule Blaza (Chato) na kumuweka maza(Kizimkazi), na kwa vile Balozi (Kusini boy) ni mtu wake, Maza kaonyesha anamtaka Maskafu (PM), hivyo wakamshauri akae mbali na The KM, maza akamuweka KM pembeni kiaina, ili kumfagilia njia maskafu ndie ampokee! Na sasa Madereva (nA Makondakta) naye kaujua mchezo anajisogeza kwa Maskafu. The KM akaamua then itambidi Maza apishe njia kabla ya 2030, hivyo yule Mkoko kumuita Balozi Iskariote, ni kumaanisha anataka kumsaliti maza ili yeye akalie kiti.
Ndani kumefukuta sana wanacheka usoni, Ila ndani pa moto, walinzi wawili wa Balozi nao amewashtukia watabadilishwa soon kuna investigation.
Nimerejea rasmi likizo imeisha
Za ndaaaaaaniiii ✍🏻✍🏻✍🏻✍🏻
Britanicca
Tunazungushana na nadharia zisizokuwa na miguu wala mikono.The KM ndie alimtoa yule Blaza na kumuweka maza, na kwa vile Balozi ni mtu wake, Maza kaonyesha anamtaka Maskafu, hivyo wakamshauri akae mbali na The KM, maza akamuweka KM pembeni kiaina, ili kumfagilia njia maskafu ndie ampokee! Na sasa Madereva naye kaujua mchezo anajisogeza kwa Maskafu. The KM akaamua then itambidi Maza apishe njia kabla ya 2030, hivyo yule Mkoko kumuita Balozi Iskariote, ni kumaanisha anataka kumsaliti maza ili yeye akalie kiti.
Ndani kumefukuta sana wanacheka usoni Ila ndani pa moto, walinzi wawili wa Balozi nao amewashtukia watabadilishwa soon kuna investigation.
Nimerejea rasmi likizo imeisha
Za ndaaaaaaniiii ✍🏻✍🏻✍🏻✍🏻
Britanicca
Kama si mfuatiliaji wa siasa za Bongo, huwezi kuzielewa hizi code...Code ngumu kidogo
Why not, kila kitu kinawezekana kwenye siasa. ni kama chess au draft, kete nyingi, msukumaji mmoja against mpinzani wakeWatu wanasema maskafu ni damu ya msoga one.