Wervemarcel
JF-Expert Member
- Apr 10, 2015
- 2,390
- 3,293
Mwambeleko ni yupi?Dhaa braza mwambeleko
Mwambeleko ni yupi?Dhaa braza mwambeleko
Alikuwa na ndugu tu zake,kwenye picha hapo ni mdogo ake wanalikuwa wanatoka kilombero kidatu kumzika mama hao,hapo walikuwa wanaenda malizia msiba kijijini kwa mama hao manda hukoHao wenzake wawili usikute nawajua pia. Dah inauma kijana mchanga katutoka.
Ndo huyo stanley jina la ukoo ni mwambelekoMwambeleko ni yupi?
Mbona kama mimi sielewi, ajali ilitokea wapi?Alikuwa na ndugu tu zake,kwenye picha hapo ni mdogo ake wanalikuwa wanatoka kilombero kidatu kumzika mama hao,hapo walikuwa wanaenda malizia msiba kijijini kwa mama hao manda hukoView attachment 1106566
Huyu siye tunayemzunguzia.Alikuwa na ndugu tu zake,kwenye picha hapo ni mdogo ake wanalikuwa wanatoka kilombero kidatu kumzika mama hao,hapo walikuwa wanaenda malizia msiba kijijini kwa mama hao manda hukoView attachment 1106566
Iringa kitonga kijiji cha nyuma kinaitwa mahenge kama unakifahamuMbona kama mimi sielewi, ajali ilitokea wapi?
Huyu ndiye marehemu stanry JuliusNamjua alimaliza Ilboru, class mate wa Tumwesige Evans et all.
View attachment 1104936
Huyo ni mdogo ake anaitwa january mwambeleko,huyo wakili ni stanley mwambelekoHuyu siye tunayemzunguzia.
Kwenye iyo ajali alikuwa na huyo mdogo ake so wote wamefarikiHuyu ndiye marehemu stanry Julius
Hii ajari nimeangalia clip zinazotembea mitandaoni.. Nilichogundua ni kwamba hizi smatphone zinapumbaza sana akili nimeona wakati gali inaanza kuwaka moto watu wanarecord na michina yao tu mpaka gari nzima inateketea hakuna aliyesogea kutoa msaada ..
R I P
Umechanganya watu mkuu.Kwenye iyo ajali alikuwa na huyo mdogo ake so wote wamefariki
Nimechanganya wakati nimetoka nao sehemu moja,leseni ya stanry umeiona hii labda wewe ndo umejichanganyaUmechanganya watu mkuu.
AminaRoho za marehemu zipate pumziko la milele wapumzike kwa Amani Amina.
23rdCohort ya ngapi?
Na uhalisi wa tatu ni Mungu kachukua viumbe wake!Ushirikina huu... Wapumzike kwa amani....
Iko hivi kama walikuwa wanasafiri kikazi ina maana walikuwa wanaenda kwenye kesi na kesi ina pande mbili mshtaki na mshtakiwa... Kama yeye kwenye hiyo kesi alikuwa anaonekana kikwazo.... Ni lazima itafutwe namna kikwazo kiondolewe watu wapite wapete
Dhana ya pili kama walitoka walikotoka kikazi na wakawa wameshinda na kulipwa basi upande ulioshindwa unaweza kutafuta namna ya kulipa kisasi
Mungu awape pumziko la milele...Kwenye iyo ajali alikuwa na huyo mdogo ake so wote wamefariki
Sipendi kabisa mawazo ya kibwege kama haya!ingekuwa ushirikina angefanya rugemalira na seth !ubwege huu kuingiza ushirikina hapaUshirikina huu... Wapumzike kwa amani....
Iko hivi kama walikuwa wanasafiri kikazi ina maana walikuwa wanaenda kwenye kesi na kesi ina pande mbili mshtaki na mshtakiwa... Kama yeye kwenye hiyo kesi alikuwa anaonekana kikwazo.... Ni lazima itafutwe namna kikwazo kiondolewe watu wapite wapete
Dhana ya pili kama walitoka walikotoka kikazi na wakawa wameshinda na kulipwa basi upande ulioshindwa unaweza kutafuta namna ya kulipa kisasi
Ilitokea hata huku Dodoma, jamaa wakitokea Kondoa kuuza nyumba ya Mrangi iliyoshindikiana miaka mingi, mbona walibiringita kwenye barabara ilinyooka, hakutoka mtuUshirikina huu... Wapumzike kwa amani....
Iko hivi kama walikuwa wanasafiri kikazi ina maana walikuwa wanaenda kwenye kesi na kesi ina pande mbili mshtaki na mshtakiwa... Kama yeye kwenye hiyo kesi alikuwa anaonekana kikwazo.... Ni lazima itafutwe namna kikwazo kiondolewe watu wapite wapete
Dhana ya pili kama walitoka walikotoka kikazi na wakawa wameshinda na kulipwa basi upande ulioshindwa unaweza kutafuta namna ya kulipa kisasi
cameraman kiboko mwisho anamalizia lkn hii si Noah ila muundo wakeAjali
Ova