TANZIA: Wakili Stanry Julius na wenzake wafariki kwa ajali ya moto Iringa

Status
Not open for further replies.
Nani alirekodi video?
Huyo aliye record angefanya nini kwa moto ule?? Afadhari ame record ili tuweze kuona kilichotokea. Hakukua na namna pale, ule moto ulishakua mkubwa. Moto wa petrol unalipuka kwa ghafla sana... Hata kama wangefanikiwa kuzima sijui kwa udongo au fire extinguishers, ingekua ni kuuzima moto usiendelee kuteketeza miili tu lakini si kuponya uhai wa hao marehemu.
 
Nimeangalia hiyo video ya tukio,hiyo ni barabara kuu naona magari makubwa na madogo yanapita tu hapo bila kusimama yanaendelea na safari zao na kwenye magari yao huwenda kuna fire extinguisher kweli walishindwa kusimama kwa mbele wakarudi kutoa msaada.
Video tuione mkuu ipost...
 
1.Point of correction... ukikanyaga pedal haupump mafuta... ila unaopen throttle ili hewa iingie kwa wingi.

2.Engine ikishazimika pump haiwezi elendelea kusukuma mafuta.... iwe ni kwa engine ya diesel au petrol. Hivyo basi km katika hiyo ajali engine ilipata damage kuna possibility ya kuzima.

3. Kama kuna mtu alikuwa anavuta sigara, then airbag ikachomoka during ajali, kuna possibility ya airbag kulipuka sababu ile hewa yake ya ndani inawaka...

3. Mwisho usisahau kwamba katika ajali Seatbelts na doors huwa zinajilock, hivyo hata kama moto ulianza kidogokidogo there is no way wangeweza kujiokoa. Ndo maana inashauriwa mtu utembee na kitu katika instance km hiyo..

3.
Utembee na kitu? Kama kisu or kiwembe ili uuukate?
 
Mara nyingi kwenye ajali ya ghafla kama hii mtu anapoteza fahamu mapema sana na hivyo kuepuka adha ya maumivu makali.
Yes pia moshi ukishatanda tu... basi mtu anapoyeza fahamu... especially kama walifunga vioo
 
Maumivu yatoke wapi mkuu? Ajali mbaya kama hiyo asilimia kubwa kbs wanazimia na wengine wanapoteza kumbukumbu mpaka wapate usaidizi, sasa watu ktk hali hiyo wakizingirwa na moto wanapataje maumivu? Ili upate maumivu lazima uwe na akili zako timamu na kamili.
Maumivu yake sasa
 
Utembee na kitu? Kama kisu or kiwembe ili uuukate?
Yes ndo maana yake sababu nje ya hapo there is no way utaweza kutoka kwenye hicho kiti...

Huwa pia kunakuwa na case ya milango kujilock wakati wa ajali lakini hiyo case ni ndogo sababu kioo cha gari kimetengenezwa in such a way kinavunjia kwa urahisi zaidi upande wa ndani kuliko nje. Hivyo case kama hiyo ikitokea mtu anaweza kuvunja kioo cha gari kwa kutumia head rest(ile sehemu unapoegesha kichwa chako huwa inachomoka na upande wa chini ina vyuma viwili vimechongoka)
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom