Tanzia: Ustadh Ilunga afariki dunia

Status
Not open for further replies.
Mkuu acha ushabiki wa kidini.
Waarabu ndio waligundua algebra na hata astronomy.
Wachina waligundua gunpowder zaidi ya miaka 1000 iliyopita.
Someni mjiongezee ufahamu.
 
Kuna mambo ya dhahiri na yale yanayofanywa kwa siri... Sheikh Ilunga alifanya kwa dhahiri! Hata hivyo, hakuna popote niliposema kwamba Ilunga ni mtu wa motoni bali nilichosema ni kwamba siwezi kumtetea Sheikh Ilunga mtu anayehubiri kamata huyu kisha muue kulipiza kuuawa kwa yule! Huo sio Uislamu! Kama kweli siufahamu Uislamu, wewe unaoufahamu weka hapa Aya inayozungumzia hicho kitu! Kama huna aya, weka ufafanuzi hapa wa Surat Baqara 178-179 kisha tujitathimini... ni bahati mbaya sana wakati mnadhani mnatetea Uislamu, kimsingi mnatetea wanaopotosha Uislamu kwavile wana majina mazuri kama vile Abdulkadir na mengine kama hayo huku wakiwa hawaachi vilemba!

Ajabu nyingine, wala hatujiulizi hapa Tanzania wameuawa Waislam wangapi... kwanini tusikamate Wakatoliki tuwaue na badala yake tukamate Padri tumuue kv kuna sheikh ameuawa Mombasa?! Tuache unafiki...
 

wewe paka jizi kakende hizo aya ulizozitoa unajua zinazungumzia nini....au una copy na kupaste tu...sema ueleweshwe...
 

kumbe nawe akili yako kama Ilunga!?
 
Una maendeleo gani we mgalatia unaenuka vinyesi!?

We huko kutolewa mapepo na hao wachungaji umeona maendeleo!?

Kelb wahed!

Hawa mbulula wakinunua godolo ni maendeleo makubwa
Kula wali wao ni pepo
 

Maalim hawa jamaa kwanza hata wafanye mema kiasi gani siku ya mwisho hawana kitu. Na ndio maana habari za mahur laini wanasema kwa kejeli kwa sababu hawajaahidiwa chochote kwenye hiyo dini yao.
 
Last edited by a moderator:
I dont tolerate profanities on either side and strongly condone such erratic behaviour. ..one thing for sure no religion allows profanities. .whoever does it with excuse of retaliation has no difference from the initiator..

That is your personal feelings!
As I told you before! An eye for an eye! That what is written!

You sound more like PAUL who pretend to be a peace keeper! But he slaughtered over MILION TRUE FOLLOWER OF JESUS SON OF MARY!

PAUL the lucifier is one who brought this GALATIAN FAITH OF IDOL WORSHIPPER!
I hate them and GOD hate them!

And they will be rotten in a hell fire!
 
Kwani huko Mbinguni/Peponi tutakuwa na hii MIILI? I mean tutakuwa SEXUAL ORGANS za kuweza kujamiiana?!. Kweli inabidi niongeze juhudu ya kuifahamu ELIMU YA DINI inaelekea sifahamu mengi.

Mkuu hujaiona video za shehe Kipozeo anaesema unaletewa "mizigo" 40 kwa siku afu unakuwa umepewa nguvu ya "kushughulikia" mizigo 100.
 

Kama kweli waislam mngekuwa kama huyu jamaa, au yule shekhe mkuu wa Dar, basi tusingekuwa tunaitana magaidi. Gaidi ni mtu yeyote anaeua watu bila hatia hata kama awe wa dini yeyote ile. Mfano Joseph Koni ni GAIDI
 
Kafiri kama kafiri hawezi kuitafsiri quran kama anavyofanya paka kakende,kuna wanazuoni ndo wanaelewa maana kwa undani zaidi.
Eti kakende na yeye anatafsiri quran toka lini...bangi znakusumbua.
 
kila mmoja afahamu kwa maana mwenye kutoa hukumu ya haki kuhusu NasDaz ni mtu wa namna gani ni Mungu peke yake. !

wewe unamatatizo.
Muislam wa kweli ni yule mwenye kumsalimisha muislam mwenzie kwa ulimi wake na mikono yake.

Kabla ya kutaja aibu ya muislam mwenzio anza yako

ni bora ukae kimya.mwenye kukaa kimya husalimika na mengi.

Tazama ujinga uliouandika kwenye neno NasDaz weka ilunga.
 
Kwa heshima yangu kwako, nalazimika kutokukujibu post hii inagwaje nilishapoteza muda mwingi kukujibu post nyingine... haidhuru, unaweza kuikataa heshima ingawaje nakuombea urejewe na moyo wa imani na ustahimilivu! Mrejee Mtume wako wakati anadhalilishwa na watu ambao wengine ni ndugu zake lakini hakupata kumuudhi yeyote!!
 
Mbona tena unapingana na maneno yako wewe si ndiyo umesema ni Mungu pekee ndiyo anatambua ya nafsi yako siyo binadamu...lakini ukija kwa Ilunga unapingana na kauli yako na kutoa hukumu moja kwa moja kwa Ilunga.

Na umesema hautaki kusimama kumtetea Ilunga ili utake uonekane Muislam lakini hapo hapo unataka uonekane Muislam kwa kumponda Ilunga, kazi kweli kweli.

Halafu huo mfano wako sijui umeupata wapi daa!!
 
Last edited by a moderator:
Kama kweli waislam mngekuwa kama huyu jamaa, au yule shekhe mkuu wa Dar, basi tusingekuwa tunaitana magaidi. Gaidi ni mtu yeyote anaeua watu bila hatia hata kama awe wa dini yeyote ile. Mfano Joseph Koni ni GAIDI
+Kakende+
 

Katangulia Ilunga tayari.
 
wewe paka jizi kakende hizo aya ulizozitoa unajua zinazungumzia nini....au una copy na kupaste tu...sema ueleweshwe...

Hizo ndizo aya zinazotumiwa na MGAIDI wa KIISLAM DUNIANI KAMA KAHTAN,nieleweshe basi
 
Aibu ya Sheikh Ilunga hakuna aliyeweka wazi bali ni yeye mwenyewe... ni yeye mwenyewe na watu wake ndio walirekodi na kupotosha mafundisho ya Koran. Hata hvyo, naamin hata huyo Mtume mwenyewe leo angefahamu kwamba wanaojigamba kuufahamu Uislamu ni watu wasio na lugha za staha, kwa hakika angehuzunika sana! Pamoja na hayo, acha tu nifurahi unapotoa tafsiri yako ya Mwislamu wa kweli...
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…