prs
JF-Expert Member
- Feb 22, 2013
- 2,642
- 3,368
Sawa Mkuu, naona huna hoja..Mwanamke mzinzi utamjua kwa kauri zake na wivu wa kijinga,hakika wewe ni jike zinzi
Sawa Mkuu, naona huna hoja..Mwanamke mzinzi utamjua kwa kauri zake na wivu wa kijinga,hakika wewe ni jike zinzi
Kwanza kabisa Salam Wakuu, na Poleni wafiwa.. Mungu azipumzishe roho za Marehemu mahala pema.
Ni Muda kidogo Umepita tokea Dada wa Kiongozi Mkuu atutoke, Tuliona namna Msiba ule ulivyoweza Kuvuta Mkuu wa Nchi,Viongozi wa Serikali,mpaka Wastaafu,
Shughuli Zote Zilisimama kwa Muda, Vikao havikuwepo..
Hotuba zilitolewa Kana kwamba ni Msiba wa Kitaifa..
Leo hii Tumepoteza Watu 225 kwa mpigo, Wanatumwa Watu kumwakilisha Kiongozi Mkuu, Bila ya kutoa sababu yoyote.
Binafsi nimeumia sana kuhusu hili, Maana naamini katika Usawa, Hakuna Binadamu aliye na Thamani kuliko Mwingine.
Mkuu Unauhakika?Wewe mbona hujaenda huko kwny msiba?!
Nimetoa Mfano, Wakati Serikali imeishia Kwenye Msiba wa Dada nini Kiliathirika?Huna akili ww ulitaka serekal yote iishie huko
Pathetic mkuuSasa si UFE KAMA UMEUMIZWA NA HILO!
Shetani wewe shindwa kwa damu ya Yesu Kristo.Sasa si UFE KAMA UMEUMIZWA NA HILO!
Kumbuka amepewa Dhamana, Hafanyi kwa Matakwa yake bali kwa Muongozo wa Katiba.Huwezi linganisha dada yako na watu baki mkuu
Waliosema damu nzito kuliko maji hawakukosea, rais ni mtu kama sisi tu
Tumuache tuendelee na maisha yetu
HAKIKA! Kweli kabisa Mkuu!Waliosema damu nzito kuliko maji hawakukosea. Rais ni mtu kama sisi tu Tumuache tuendelee na maisha yetu
Unaishi pangoni bila shaka yoyote.we mjinga nini unalinganisha msiba wa familia na majanga ya kijamii!? ulitaka asiende kwa dada yake?
wanafiki mnaojionyesha misibani muonekane bora.
"Waacheni wafu kwa wafu wazikane" kazi iendelee mpaka pumzi ya mwisho.
Kwani kuna asiyejua hilo ?Hakuna atakaye ishi Milele Mkuu.
Nimekukumbusha tu.Pengine ulikua Umesahau.Kwani kuna asiyejua hilo ?
Huko shuleni huwa mnaenda kujifunza vitu gani gani?Sasa si UFE KAMA UMEUMIZWA NA HILO!
Wapi niliposema Ilikua Vibaya Yeye kuhudhuria Msiba wa Dada yake?!we mjinga nini unalinganisha msiba wa familia na majanga ya kijamii!? ulitaka asiende kwa dada yake?
wanafiki mnaojionyesha misibani muonekane bora.
"Waacheni wafu kwa wafu wazikane" kazi iendelee mpaka pumzi ya mwisho.
Ndiyo Mkuu.Wee ulikuwepo?
kauri=kauli,,,,,,Mwanamke mzinzi utamjua kwa kauri zake na wivu wa kijinga,hakika wewe ni jike zinzi