johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,970
- 141,982
Rais Samia anesema atakamilisha miradi yote ya Sengerema kwa sababu kule ni ukweni kwa Shujaa Magufuli
Rais Samia amesema amekuta miradi mingi ya Buchosa na Sengerema kwenye mafaili hivyo atakamilisha miradi yote kwa sababu ukweni kuna heshima yake
Mungu mbariki Rais Samia!
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akisalimiana na Mama Mzazi wa Mama Janeth Magufuli ( Juliana Stephano Kidaso) mara baada ya kuwasili Sengerema Mkoani Mwanza tarehe 14 Juni, 2023.
Rais Samia amesema amekuta miradi mingi ya Buchosa na Sengerema kwenye mafaili hivyo atakamilisha miradi yote kwa sababu ukweni kuna heshima yake
Mungu mbariki Rais Samia!
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akisalimiana na Mama Mzazi wa Mama Janeth Magufuli ( Juliana Stephano Kidaso) mara baada ya kuwasili Sengerema Mkoani Mwanza tarehe 14 Juni, 2023.