ladyfurahia
JF-Expert Member
- May 10, 2011
- 14,758
- 9,589
habari wana jamvi wenzangu
Nina masikitiko na simanzi kubwa ndani yangu kwani nimeondokewa na kipenzi changu mwanangu wa ukoo.
Kwa taarifa hii ya jana iliyonishtua na kunipa simanzi zisizopimika nimeondokewa na kipenzi changu ambaye
ni cousin wangu na kwa upande wa mama yangu mzazi ananiita mama wa ukoo yaani mwanangu, alikuwa anasumbuliwa na tatizo la appendex ambayo ilipasukia tumboni na vilevile alikuwa mjamzito na presha ilishuka chini, jana majira ya jioni alipopelekwa chumba cha upasuaji wakati wanamfanyia matibabu ndipo akakata roho ameacha mume na watoto wawili, na leo tunafanya taratibu za kuusafirisha mwili kwenda mkoani kuzika. sina faraja ingine namshukuru Mungu kwani ndiye aliyetoa na ametwaa jina lake lihimidiwe, mwenzenu niko so sad. Tutasafiri jioni sana na tutaaga pale Mwimbili kuanzia majira ya saa nane mpaka saa kumi hivi ila tunasikiliza kamati ya mazishi itakaposema.
karibuni wapendwa.
Nina masikitiko na simanzi kubwa ndani yangu kwani nimeondokewa na kipenzi changu mwanangu wa ukoo.
Kwa taarifa hii ya jana iliyonishtua na kunipa simanzi zisizopimika nimeondokewa na kipenzi changu ambaye
ni cousin wangu na kwa upande wa mama yangu mzazi ananiita mama wa ukoo yaani mwanangu, alikuwa anasumbuliwa na tatizo la appendex ambayo ilipasukia tumboni na vilevile alikuwa mjamzito na presha ilishuka chini, jana majira ya jioni alipopelekwa chumba cha upasuaji wakati wanamfanyia matibabu ndipo akakata roho ameacha mume na watoto wawili, na leo tunafanya taratibu za kuusafirisha mwili kwenda mkoani kuzika. sina faraja ingine namshukuru Mungu kwani ndiye aliyetoa na ametwaa jina lake lihimidiwe, mwenzenu niko so sad. Tutasafiri jioni sana na tutaaga pale Mwimbili kuanzia majira ya saa nane mpaka saa kumi hivi ila tunasikiliza kamati ya mazishi itakaposema.
karibuni wapendwa.