Tanzia: Nimepatwa na msiba wapendwa

Tanzia: Nimepatwa na msiba wapendwa

ladyfurahia

JF-Expert Member
Joined
May 10, 2011
Posts
14,758
Reaction score
9,589
habari wana jamvi wenzangu

Nina masikitiko na simanzi kubwa ndani yangu kwani nimeondokewa na kipenzi changu mwanangu wa ukoo.

Kwa taarifa hii ya jana iliyonishtua na kunipa simanzi zisizopimika nimeondokewa na kipenzi changu ambaye
ni cousin wangu na kwa upande wa mama yangu mzazi ananiita mama wa ukoo yaani mwanangu, alikuwa anasumbuliwa na tatizo la appendex ambayo ilipasukia tumboni na vilevile alikuwa mjamzito na presha ilishuka chini, jana majira ya jioni alipopelekwa chumba cha upasuaji wakati wanamfanyia matibabu ndipo akakata roho ameacha mume na watoto wawili, na leo tunafanya taratibu za kuusafirisha mwili kwenda mkoani kuzika. sina faraja ingine namshukuru Mungu kwani ndiye aliyetoa na ametwaa jina lake lihimidiwe, mwenzenu niko so sad. Tutasafiri jioni sana na tutaaga pale Mwimbili kuanzia majira ya saa nane mpaka saa kumi hivi ila tunasikiliza kamati ya mazishi itakaposema.
karibuni wapendwa.
 
Pole sana mpendwa,Mungu akupe nguvu katika kipindi kigumu hiki.
RIP cousin wako.
 
Pole sana , sisi na wa Mungu na marejeo ni kwake.
 
Ni kazi ya MUNGU, MUNGU anyooshe mkono wake wa faraja juu yako Lady , tupo pamoja..
 
Last edited by a moderator:
Ni kazi ya MUNGU, MUNGU anyooshe mkono wake wa faraja juu yako Lady , tupo pamoja..
 
Last edited by a moderator:
habari wana jamvi wenzangu

Nina masikitiko na simanzi kubwa ndani yangu kwani nimeondokewa na kipenzi changu mwanangu wa ukoo.

Kwa taarifa hii ya jana iliyonishtua na kunipa simanzi zisizopimika nimeondokewa na kipenzi changu ambaye
ni cousin wangu na kwa upande wa mama yangu mzazi ananiita mama wa ukoo yaani mwanangu, alikuwa anasumbuliwa na tatizo la appendex ambayo ilipasukia tumboni na vilevile alikuwa mjamzito na presha ilishuka chini, jana majira ya jioni alipopelekwa chumba cha upasuaji wakati wanamfanyia matibabu ndipo akakata roho ameacha mume na watoto wawili, na leo tunafanya taratibu za kuusafirisha mwili kwenda mkoani kuzika. sina faraja ingine namshukuru Mungu kwani ndiye aliyetoa na ametwaa jina lake lihimidiwe, mwenzenu niko so sad. Tutasafiri jioni sana na tutaaga pale Mwimbili kuanzia majira ya saa nane mpaka saa kumi hivi ila tunasikiliza kamati ya mazishi itakaposema.
karibuni wapendwa.
 
Pole sana ndugu. Dunia hii tunapita hatujui wakati wala saa. Mungu aipumzishe roho ya marehemu mahali pema peponi. Amen
 
Pole sana mamii!..Bwana alitoa na Bwana ametwaa,jina lake lihimidiwe
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom