Unavyokumbuka aliishia kukushika tuziwa tu au hukumbuki?Jamani R.I.P mzee mchopanga wakati tunaishi makumbusho nipo mtoto alikuwa ananiita mchumba mchumba na kunishika tuziwa eti
Hayo ya mbele hayakuhusuUnavyokumbuka aliishia kukushika tuziwa tu au hukumbuki?

Hahahah nilikuwa katoto na miaka 6 sijui akija nyumbani ananibeba ananiita mchumba akee aisee Mungu ampumzishe mahali pema peponiUnavyokumbuka aliishia kukushika tuziwa tu au hukumbuki?
Ni Baba Mzazi wa home boy, Hip Hop Legendary, JUMA MOHAMMED alias "JAY MO"Tunashukuru kwa taarifa Mkuu na pole kwa Familia yake na tumuombee kwa Mwenyezi Mungu aipokee roho yake na aiweke mahala pema peponi. Ila nadhani ulipashwa pia angalau utupe kidogo ' Wasifu ' wake Mzee ili hata Sisi wengine tumjue kwani nina uhakika wengi wetu humu Jamvini ama hatumjui kabisa au kutokana na harakati zetu za Vyuma Kukaza hapa mjini tumeshamsahau. Tafadhali ama kupitia Kwako Wewe au Member mwingine yoyote tafadhali tupeni ' details ' za kutosha za huyu Mzee wetu.
Usikute alikuwa ana mfanyia mipango jay mo akukuleJamani R.I.P mzee mchopanga wakati tunaishi makumbusho nipo mtoto alikuwa ananiita mchumba mchumba na kunishika tuziwa eti
Unavyokumbuka aliishia kukushika tuziwa tu au hukumbuki?
Alikuwa nani huyu madame....Mungu akuepushie adhabu ya kaburi mzee Mchopanga
Eeeh ,haya R.I.PJamani R.I.P mzee mchopanga wakati tunaishi makumbusho nipo mtoto alikuwa ananiita mchumba mchumba na kunishika tuziwa eti
Ni wazee wa siku nyingi Makumbusho tangu zile enzi za nyumba za National Housing, wengi walizinunua kwa mkopo nafuu.Alikuwa nani huyu madame....
Nashukuru Kwa kunielewesha madame...Ni wazee wa siku nyingi Makumbusho tangu zile enzi za nyumba za National Housing, wengi walizinunua kwa mkopo nafuu.
Mhh,kwani alifanya nn duniani kabla ya kifo chake mpaka umuombee msamaha kwa Mungu?😱😱😱Mungu akuepushie adhabu ya kaburi mzee Mchopanga