Sipeke yako ata mm simjui mtu humuAiseee watu wanajuana humu
Hivi nikifa mtajua kweli? maana sina anayenifaham humu
Nampa pole Linamo mbele yetu nyuma yake
Basi ukifa hatuta juaSipeke yako ata mm simjui mtu humu
Tunaomba number ya tigopesa au shehemu gani tunaweza changia pole sana
Swissme
Mkuu watu wanafiwa sana lkn hakuna wa kuleta habari ksma huyuMhh jaman vp mbona Tanzia umu zimetuandama ivo pole kwa ndugu zetu wanaopita kwenye kipind kigumu.
Mungu awape hvumilivu