Zidisha umakini.Poleni ,R.I.P mwanakweda
Ukiwa na maana gani ?Zidisha umakini.
Msiba upo maeneo ganiWakuu huyu ni member mwenzetu hapa JF amefiwa na mtoto wake leo saa 10 njiani akipelekwa hospitali.
Source. Mimi mwenyewe niko eneo la tukio.
Mungu amfariji katika hichi kipindi kigumu hakika kila jambo jutokea kwa sababuWakuu huyu ni member mwenzetu hapa JF amefiwa na mtoto wake leo saa 10 njiani akipelekwa hospitali.
Source. Mimi mwenyewe niko eneo la tukio.