Spalulu
JF-Expert Member
- May 5, 2013
- 283
- 146
Kweli kabisa aisee afu tunatumia Id tofauti na majina yetu halisi, hivi nikituma mchango wangu nani atajua kuwa ni mimi wa humu Jf?Aiseee watu wanajuana humu
Hivi nikifa mtajua kweli? maana sina anayenifaham humu
Nampa pole Linamo mbele yetu nyuma yake