Nachukua nafasi hii ya pekee kabisa kumpa heshima ya pekee na kumshukuru sana member aitwaye
mchakamchaka kwa ushiriki wake Mwanzo Kati hadi Mwisho wa matukio yote ya safari ya mwisho ya rafiki yetu mpendwa Wasaimon.
Member huyu pamoja na ugeni wake ameshiriki kwa hali na mali katika tukio hili.
Ameguswa mno baada ya kuwaona watoto wa3 wa marehemu wakilia sana juu ya kaburi la baba yao.
Ushauri aliotoa ambao nimeuona wa maana sn ni kuwa ameshauri kuwa mbali ya kutoa rambirambi kwa mjane tupange ratiba za kuwatembelea huko mbele ya safari, na si kuwatelekeza moja kwa moja.
mchakamchaka taarifa zako zimefika kwa group, na wanakupenda sana.