PakaJimmy
JF-Expert Member
- Apr 29, 2009
- 16,202
- 8,781
- Thread starter
- #301
Wadau nipo hapa, ukumbi wa kanisa umejaa mno. Watu ni wengi sana. Ndio napata hapa wasifu wa huyu mdau ambao binafsi sikuujua, inasemekana kuwa alikuwa hachagui mtu wa kuongea naye. Kwa ufupi ni kwamba hakuwahi kuwa na majivuno.