Tanzia: Mwanajamvi afariki Dunia.

Tanzia: Mwanajamvi afariki Dunia.

Sure!
Mtaa wa Kijenge ulichafuka vilivyo. Kijana alikuwa mfano wa kuigwa. Hatimaye niliwaona akina Tony bana!...was totally depressed!

yap, Sai alikuwa mtu wa watu balaa, hana makuu kabisa, ndio kina Tony wale na unaona walivyo wadogo, inauma sana.
 
Bwana ametoa na Bwana ametoa, jina la Bwana libarikiwe, sote tuko njia moja
 
poleni sana familia yake by the way nami nilikua makaburini kumzika DJ BUPE wa MJ FM,kweli tumepata pigo ARUSHA
 
poleni sana familia yake by the way nami nilikua makaburini kumzika DJ BUPE wa MJ FM,kweli tumepata pigo ARUSHA
Du!
Marehemu wote watu wa Huko Mbeya, wamezikwa siku moja, muda mmoja, eneo moja!...what a coincidence!
 
Kazi nzuri sana Pakajimmy, pole kwa changamoto zote ulizozipata kuhakikisha unatuwakilisha vema ... hope kwa moyo huu mzuri na mkubwa uliouonesha utakuwa umezalisha pakajimmy wengine wengi huku JF (wa kwanza ni mimi) ambao watakuwa wakijitolea zaidi kwa ajili ya wengine. Ubarikiwe sana .....

R.I.P Wasaimon
 
Kazi nzuri sana Pakajimmy, pole kwa changamoto zote ulizozipata kuhakikisha unatuwakilisha vema ... hope kwa moyo huu mzuri na mkubwa uliouonesha utakuwa umezalisha pakajimmy wengine wengi huku JF (wa kwanza ni mimi) ambao watakuwa wakijitolea zaidi kwa ajili ya wengine. Ubarikiwe sana .....

R.I.P Wasaimon
Nitapata amani sn jf nzima ikiwa ni ya mapakajimmy...dunia itakuwa mahala bora pa kuishi.
 
Pakajimmy,hebu save no yangu 0754348782 kukiwa na majanga kama haya pande za arusha unishirikishe,yani ndio nimeona habari hii this time wakati music ulikuwa hauna kazi siku hiyo,could help a lot,r.i.p wasaimon
 
Mpiganaji huwa hafi,huyu Saimon KAANGUKA tu.Katika mapambano ni mimi na wewe kuchukua silaha yake na kusonga mbele ........HADI MISIBA HII ITAKAPOPITA!
RIP WASAIMON!TILL RESURRECTION!
 
Pakajimmy,hebu save no yangu 0754348782 kukiwa na majanga kama haya pande za arusha unishirikishe,yani ndio nimeona habari hii this time wakati music ulikuwa hauna kazi siku hiyo,could help a lot,r.i.p wasaimon
Mkuu,
Kumbe tuko pamoja town, na hususan hapa majamvini?
Tunashukuru sana kwa kujiweka sawa kwaajili ya majanga ambayo yanaweza kutokea mbeleni.
Tutakufahamisha, si kwa majanga tu, bali hata kwa mema na ya furaha!
Nishainukuu namba yako.
 
Mpiganaji huwa hafi,huyu Saimon KAANGUKA tu.Katika mapambano ni mimi na wewe kuchukua silaha yake na kusonga mbele ........HADI MISIBA HII ITAKAPOPITA!
RIP WASAIMON!TILL RESURRECTION!
See him in another Life!
 
Mkuu,
Kumbe tuko pamoja town, na hususan hapa majamvini?
Tunashukuru sana kwa kujiweka sawa kwaajili ya majanga ambayo yanaweza kutokea mbeleni.
Tutakufahamisha, si kwa majanga tu, bali hata kwa mema na ya furaha!
Nishainukuu namba yako.

my Bro, unataka kuniambia huyo MC humjui? hujahudhuria sherehe yoyote hapa mjini ya huyo MC Chizenga? wacha nitulie coz ni thread ya msiba! cheki vizuri hiyo avatar yake.
 
my Bro, unataka kuniambia huyo MC humjui? hujahudhuria sherehe yoyote hapa mjini ya huyo MC Chizenga? wacha nitulie coz ni thread ya msiba!
Nimeshahudhuria shughuli nyingi mno hapa mjini, lakini kwa bahati mbaya kabisa huyu sijabahatika kukutana nae...
Nawajua akina MC Maganga, MC Chinaa, MC Happy, na wengine, huyu sijabahatika kuingia kunako shughuli yake.\
Bila shaka ni ni MBAYAAAAAAAAA!
Thanx Nyamayao.
 
Mkuu,
Kumbe tuko pamoja town, na hususan hapa majamvini?
Tunashukuru sana kwa kujiweka sawa kwaajili ya majanga ambayo yanaweza kutokea mbeleni.
Tutakufahamisha, si kwa majanga tu, bali hata kwa mema na ya furaha!
Nishainukuu namba yako.

yap kiongozi,nipo Arusha!asante kwa kunote no yangu,sometime huwa napotea na mishemishe nikirudi tena jf nakuta nimepitwa na mambo mengi!
 
Nimeshahudhuria shughuli nyingi mno hapa mjini, lakini kwa bahati mbaya kabisa huyu sijabahatika kukutana nae...
Nawajua akina MC Maganga, MC Chinaa, MC Happy, na wengine, huyu sijabahatika kuingia kunako shughuli yake.\
Bila shaka ni ni MBAYAAAAAAAAA!
Thanx Nyamayao.

kawaida sana, kitu kimoja tu kinamponza, ndo mana nikasema thread ya msiba hii ninyamaze nyamayao! tuendelee na thread yetu Bro.
 
kawaida sana, kitu kimoja tu kinamponza, ndo mana nikasema thread ya msiba hii ninyamaze nyamayao! tuendelee na thread yetu Bro.
Ok...OK..OK..!
vP hujapata updates za huko mahala, kama nilivyokuPM?
 
Ok...OK..OK..!
vP hujapata updates za huko mahala, kama nilivyokuPM?

my Bro, nimemcal ninaemtegemea kwa asilimia zote yupo porini net mbaya sana, tukawa hatusikilizani, akani sms nimcal kesho, so kesho ntacheki na wewe muda wowote nikishawasiliana nae plz.
 
my Bro, nimemcal ninaemtegemea kwa asilimia zote yupo porini net mbaya sana, tukawa hatusikilizani, akani sms nimcal kesho, so kesho ntacheki na wewe muda wowote nikishawasiliana nae plz.
Crossing my fingerz then.
My greatest Luv 2u, n enjoy this very loong wkend!
 
Back
Top Bottom