Tanzia: Mwanajamvi afariki Dunia.

Tanzia: Mwanajamvi afariki Dunia.

kimsiba zaidi jamani, hizo ishu za kujitambulisha, ni maamuzi ya mtu tu nadhani wengi wetu tunajua kwamba kuna hiyo arusha wing, kila mtu atafanya kwa wakati wake.
 
Nyamayao; Hata hivyo ni maamuzi yako tu! Ila hakika nakwambia hakuna ajuaye mambo ya kesho ila tunayajua yaliyopita kwa sasa,kwa mtazamo wangu wa kheri ni natamani sana ningekuwa ninakujua wewe Nyamayao.........hapo hapo kesho nikasikia una sherehe ama msiba na nikiwa kati ya marafiki wako nitaacha kweli kureport mambo yako ndani ya wing yetu ama ndani jf member? Mtazamo wangu tu ni bora tukajuana kwa upendo kabisa na usio na mawaa! Karibu Nyamayao na tunakuamini Ndugu yetu!


kimsiba zaidi jamani, hizo ishu za kujitambulisha, ni maamuzi ya mtu tu nadhani wengi wetu tunajua kwamba kuna hiyo arusha wing, kila mtu atafanya kwa wakati wake.
 
Last edited by a moderator:
Dah. . ! . Hakika ndo njia tutayoelekea sote . Umetangulia ili utupokee broo na cc 2nafuatilia . Poleni ndugu na jamaa ktk kipindi hichi cha msiba . R.I.P WASAIMON.
 
Arusha ni wamoja sana aiseee!!!!

Poleni wafiwa wote kwa msiba na tunawaombea kwa Mungu awawezeshe kupita salama katika kipindi hiki kigumu. Na kwa wanjf wa Arusha tunawaomba mtuwakilishe vizuri kwenye hili sisi tulio mbali na Geneva ya Africa.
 
mungu mwema amekupenda zaidi,yeye pekee awe faraja ya kweli na mlezi wa familia yako uliyoitunza hadi mauti
 
Thanks god niko hapa msibani! Kweli wasaimon alikuwamtu wa watu! Watu ni wengi msibani!
 
Mwili utaagwa kesho kuanzia saa nne kanisa katoliki Kijenge
 
Nasikia marehemu siku ya kifo alifika ofisini kama kawaida, akawaaga kama anaendakufanya checkup hospitalini akafika hospitalini. Akiwa na dokta ghafla hali ikachenji na akafariki
 
Enzi za uhai wake aliitwa Saimon Anthony! samahani kama nitakuwa nimevunja sheria za jamvi!
 
Back
Top Bottom