Msigazi Mkulu
JF-Expert Member
- Dec 22, 2013
- 4,110
- 3,270
Hakuna mwenye picha ya huyo kijana tumuone?
Ndio unanipeleka chaka kabisaDah....ni kifupisho cha VIAdrenedes GRAttinibalsn
HahahaAmefariki kiume
Mugumu mjini au wapi niende msiba wa komandooNimebahatika kuudhuria huu msiba hapa Magu, Kijana wamemsafirisha leo kwenda kumzika kwao Baba yake Mugumu Serengeti, Baba yake ni askari Polisi maarufu sana hapa Magu, Kijana alifia Hotel maarufu hapa Magu inaitwa Raydance ipo barabara kuu ya Mwanza Musoma kama unaingia stand ya Magu, Na alikufa kweli akiwa Katika tendo la ndoa baada ya kuwa ametumia viagra na kilevi pia, Alikuwa akifanya hilo pambano lisilo na mdhamini na mmoja wa wahudumu wa hotel hii!
KapilauNikisha Meza Hayo Makitu NAPATEJE Sasa Furaha Ya Tendo Hilo La Ndoa
Mambo Mengine Bhana
Kiviere Wa Usangi
MTU ninaependa post zake JF ni ww mkuu,nimesoma nyuzi zako zoote tangu unajiung humu.Marehemu kafa akilitumikia taifa. amekufa kishujaa sana. watu wa dodoma hayo mambo why? kuleni tu vizuri na fanyeni mazoezi achaneni na hayo mambo jamani.
ni kweli kabisa mimi nipo magu huyu dogo alifia gest inaitwa spear usiku wa jumamosi tarehe 4..... baada ya kunywa bia na kujisahau akanywa viagra, ni kijana wa askari mmoja hapa magu na amekufa na umri wa miaka 26 alimaliza UDOM mwaka jana na alikuwa anafanya kazi compuny ya wachinaa magu.Bila picha siwezi kuamini
Nani aliyekuambia kuwa marehemu alikunywa viagra? Acha kufanya conclusions nyepesi nyepesi kwa tukio nzitonla mauaji. Waache polisi wafanye kazi yao. Huyo demu anahusika kwa mauaji hayo ya kukusudia au ya kutokukusuidia kama yale anayohangaika nayo Lulu. Kuna wanawake mkiwa kwenye hiyo game, unalalamika kuwa imetosha lakini yeye ndoo anaongeza maafundi ambayo yanaweza kupelekea kifo chako hata kama hukutumia Viagra. Hiyo game ina kanuni zake ambazo kama hazikuzingatiwa inaweza kupelekea kifo cha mmoja wao (wa kike au wa kiume) walio kwenye game hiyo.Habari
Kuna taarifa ya kusikitisha! Mmoja wa wahitimu wa udom 2017 amefariki dunia usiku wa kuamkia leo akiwa nyumba ya kulala wageni.
Chanzo:
Alitumia viagra vidonge vitatu (3).
Kifo chake kilitokea baada ya mwenzake jinsia ya kike akiwa ameshindwa kumudu shughuli ya tendo la ndoa kulingana na dawa hizo kuwa zaidi ya kiwango husika.
Kwao na marehemu ni Magu mkoani Mwanza.
Rai yangu:
Vijana tujaribu kuwa waangalifu hususani na dawa za aina hii, na wengi huwa wanadhani wanataka kukomoa.
Tubadilike katika hili, elimu sio darasani pekee.
Nb:
Wale wa mambo ya m-congo kuweni makini pia.
Kiustaarabu sio vyema kusema kitivo alichosomea wala jina lake.
Niwatakieni asubuhi njema.
Ahsanteni