Habarini mabestito
Nimepokea taarifa ya mshtuko wa ghafla wa msiba ambao sijautegemea
muda si mrefu, nimeshindwa kustahimili wapendwa wangu naitaji maombi yenu.
Mwenzenu Nimeondokewa na
Shangazi yangu anayeishi Morogoro hivyo
niko kwenye maandalizi ya kwenda huko. Bwana ametoa na ametwaa
Jina lake lihimidiwe.
Ladyf[/QUOTE
R.i.p aunt wa
ladyfurahia