mfianchi
Platinum Member
- Jul 1, 2009
- 11,867
- 8,280
Mkuu hujui tuko vitani?tofautisha vifo vya mwaka jana na mwaka huu ,wacha matangazo ya vifo yabaki hapahapa kama siku zote,kwanini sasatutoe wakati huko nyuma watu walikuwa wanatangaza vifo vya wapendwawao hapa hapa.Napendekeza kuanzia sasa kwenda mbele kuwepo na jukwaa la matangazo ya vifo.
Kila utokeapo msiba, hata kama ni wa kijijini kwenu au wa jirani yako, taarifa zake zinawekwa huko.
Na atayetaka kujua leo kafa nani na kafia wapi, anaenda huko kwenye jukwaa la matangazo ya vifo.
Maxence Melo