Kiresua
JF-Expert Member
- May 13, 2009
- 1,184
- 259
Wana Bodi,
Nasikitika sana kuwapa taarifa za msiba wa Mke wake na Kaka Kiiza, kilichotokea sasa hivi. Nimepata ujumbe wake kwa njia ya sms juu ya taarifa hizi za kusikitisha.
Naungana na ndugu na jamaa wa ndugu yetu katika maombolezo ya msiba huu mkubwa.
Kaka Kiiza, Asured kwamba mawazo yetu na sala zetu yapo na nawe katika kipindi hiki chote cha msiba! Jipe Moyo Mkuu kwa kuwa kazi ya Mungu haina makosa hata kidogo...
Binafsi sikupata details zaidi!! nitakapopata nitaziweeka hapa
Bwana Alitoa na Bwana Ametwaa, Jina la Bwana Libarikiwe!
Kwa wale watakao weza kuhudhuria msiba safadhali tukamtie mwenzetu Moyo!
Kiresua
More info!!
Mama Kiiza amefikwa na mauti kwa sababu za ujauzito!
Updates...
Wapendwa Leo heshima za mwisho zitatolewa Tegeta Namanga saa 7-8Mchna na baada ya hapo msafara utaanza kuelekea Makaburini kinondoni,makaburi ya karibu na Hananasif!Mwembeni karibu na njia ya kwenda leaders club!
Nasikitika sana kuwapa taarifa za msiba wa Mke wake na Kaka Kiiza, kilichotokea sasa hivi. Nimepata ujumbe wake kwa njia ya sms juu ya taarifa hizi za kusikitisha.
Naungana na ndugu na jamaa wa ndugu yetu katika maombolezo ya msiba huu mkubwa.
Kaka Kiiza, Asured kwamba mawazo yetu na sala zetu yapo na nawe katika kipindi hiki chote cha msiba! Jipe Moyo Mkuu kwa kuwa kazi ya Mungu haina makosa hata kidogo...
Binafsi sikupata details zaidi!! nitakapopata nitaziweeka hapa
Bwana Alitoa na Bwana Ametwaa, Jina la Bwana Libarikiwe!
Kwa wale watakao weza kuhudhuria msiba safadhali tukamtie mwenzetu Moyo!
Kiresua
More info!!
Mama Kiiza amefikwa na mauti kwa sababu za ujauzito!
Updates...
Wapendwa Leo heshima za mwisho zitatolewa Tegeta Namanga saa 7-8Mchna na baada ya hapo msafara utaanza kuelekea Makaburini kinondoni,makaburi ya karibu na Hananasif!Mwembeni karibu na njia ya kwenda leaders club!