TANZIA TANZIA: Getrude Rwakatare, Mbunge na Mchungaji wa Kanisa la TAG (Mlima wa Moto - Mikocheni B) nchini Tanzania, afariki dunia

Majibu ya maombi ya siku tatu

Mungu sio mnafiki

Sent using Jamii Forums mobile app
Baba Swalehe unaongea nini aisee, unawaza kinyumenyume mkuu! watu wakienda kulia wewe kushoto! kwani ulikuwa ukimchukia Mama? kakufanyaje?

Sio kwamba tuna ya kujifunza katika maisha yake hasa kukuza elimu kwa shule zake bora sana? au ni yale makofi alipiga bungeni ile si ni mob psychology tu wenzio wakipiga makofi nawewe unapiga au?

kifo cha mtu mkubwa ni ukumbusho kwa kila mmoja wetu hasa zaidi kwa mafisadi , leo akaunti yako benki imenona pesa ya umma kesho hamad! ni marehemu , pesa zako zote ambazo hakuna mtu alijua ni ngapi leo zinajulikana na zinarudi kwa umma (watoto wako) ambao watazitumbua bila hofu tena tofauti kabisa na misingi yako!!
 
Nadhani sasa Tanzania Assemblies of God wataanzisha mchakato wa kuchukua kanisa lao. Muda si mrefu mgogoro utaanza.
Hakuna mgogoro hapo. Kanisa lilikuwa na usajili wake. Hakuna uhusiano wa Kanisa lake na Tanzania Assemblies of God. Askofu alikuwa ndiye mwenyewe na mwanzilishi ni yeye.
 
Sasa hiyo hati ya kifo huwa inaandaliwa na familia ?? maana hoja yako ilikuwa bora familia wamesema ! familia kwenye hili sio competent authority ....na hati ya kifo hutoka baada ya vipimo vya pathologist ........
Alafu tumia lugha ya staha basi sio wote tunapenda kutumia lugha za kukashfiana ....sasa porojo zangu hapo ziko wapi/?
Hakuna daktari duniani anayeweza sema mgonjwa kafa kwa ugonjwa gani publically ni Siri yake na mgonjwa tu aweza waeleza familia yake tu ambao walimuuguuza.Huyo pathologia wako hawezi sema lolote zaidi ya kuiambia familia.Unajuaje Kama hajafanyiwa?
Na familia yake kupewa ripoti?

.Huyo Ni.mbunge ujue.Nitajie pathologia yeyote aliyewahi Anika jina la mgonjwa na kusema kafa kwa ugonjwa gani publically
 
Rest in Peace Mama Getrude. Nayakumbuka sana maombezi yako ya upepo wa kisulisuli pamoja na jitihada zako za kuombea CORONA isiingie Tanzania, japo siku iliyofuata Corona ikatia timu.
 
  • Thanks
Reactions: amu
Mbunge wa Viti Maalumu (CCM) na Mchungaji wa Kanisa la Mlima wa Moto (Mikocheni B Assemblies of God ) Mchungaji Dk. Getrude Lwakatare amefariki dunia Alfajiri ya leo. Mtoto wa amarehemu amethibitisha kifo.


Mtoto wa Marehemu Mama Rwakatare, Mutta Rwakatare amethibitisha kwa kusema

"Ni bahati mbaya imetokea asubuhi ya leo saa 11 kasoro, alikuwa na matatizo ya moyo, jana tulimkimbiza Hospitali lakini bahati mbaya imetokea, tupo katika hatua ya kuangalia namna gani tutafanya ili tuweze kumpumzisha mama yetu" amesema Muta.

Marehemu alikuwa kiongozi wa kiroho, mmiliki wa Shule za St. Mary's na pia mwanasiasa.

Mwaka 2007, Mama Rwakatare aliingia kwenye siasa rasmi baada ya kuteuliwa kushika nafasi ya Marehemu Salome Mbatia aliyekufa kwa ajali. Soma Mchungaji Getrude Rwakatare amrithi marehemu Salome Mbatia - JamiiForums

Aidha, Mwaka 2017 aliteuliwa tena kuwa Mbunge wa Viti Maalum akichukua nafasi ya Sophia Simba. Soma Dr. Getrude Rwakatare ateuliwa kuwa Mbunge wa Viti Maalum nafasi ya Sofia Simba - JamiiForums

Matukio mengine:

Mwaka 2012, Mama Rwakatare aliichongea JF Bungeni. Soma Mama Lwakatare aichongea JamiiForums

Mwaka 2013, Mama Rwakatare alifiwa na Mumewe, Mzee Kennedy Rwakatare. Soma TANZIA: Mch. Getrude Rwakatare amefiwa na mumewe

=============

Tutakukumbuka kwa mchango wako kwenye nyanja za elimu na jamii kwa ujumla.

Umepigana vita na mwendo umeumaliza

Upumzike kwa amani!!


RAIS MAGUFULI ATUMA SALAMU ZA RAMBIRAMBI
View attachment 1424530

TAARIFA YA BUNGE
View attachment 1424553






WASIFU WA MAMA RWAKATARE

0.33440300 1494232974.png


Hon. Rev. Dr. Getrude Pangalile Rwakatare

Phone : +255679997051

P.O Box : P. O. Box 8844, Dar es Salaam

Email Address : g.rwakatare@bunge.go.tz

Date of Birth : 1950-12-31

Education History :

School Name/LocationCourse/Degree/AwardFromToLevel
Mood Bible Institute , Chicago, USABachelor of Arts in Theology (Mass Com.)19841988Bachelor Degree
North London PolytechnicDiploma in P/M19741975Diploma
Railways' CollegeCertificate19711972Certificate
Korogwe Girls Secondary SchoolCSEE19651968Secondary School
Ifakara Girls Primary SchoolCPEE19611964Primary School
Mbingu Primary School-19571960Primary School


Employment History :
Company/InstitutionPositionFromTo
Tanzania Harbours AuthorityPersonnel Manager19701983
Pan African Christian Women AssemblyChairperson19891993
Mountain of Fire Assemblies of GodPastor19952017
St. Mary's International SchoolsDirector19962017
St. Mary's Teachers CollegeDirector20032017
Mountain of Fire Assemblies of GodPresenter20042017

Political Experience :

Political PartyPositionFromTo
Parliament of TanzaniaMember of Parliament20172020
Parliament of TanzaniaMember of Parliament20072010
Parliament of TanzaniaMember of Parliament20102015
Chama cha MapinduziGuardian to the District Women Wing20052005
Community Development Committee of the ParliamentMember20072010
Social Services Committee of the ParliamentMember20102015
Badilisha hicho kichwa cha habari sema "Mbunge na Mfanyibiashara Maarufu...."

Rip

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hakuna daktari duniani anayeweza sema mgonjwa kafa kwa ugonjwa gani publically ni Siri yake na mgonjwa tu aweza waeleza familia yake tu ambao walimuuguuza.Huyo pathologia wako hawezi sema lolote zaidi ya kuiambia familia.Unajuaje Kama hajafanyiwa?

Na familia yake kupewa ripoti.Huyo Ni.mbunge ujue.Nitajie pathologia yeyote aliyewahi Anika jina la mgonjwa na kusema kafa kwa ugonjwa gani publically
Ataelewa wapi huyo mdeki barabara

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mbunge wa Viti Maalumu (CCM) na Mchungaji wa Kanisa la Mlima wa Moto (Mikocheni B Assemblies of God ) Mchungaji Dk. Getrude Lwakatare amefariki dunia Alfajiri ya leo. Mtoto wa amarehemu amethibitisha kifo.


Mtoto wa Marehemu Mama Rwakatare, Mutta Rwakatare amethibitisha kwa kusema

"Ni bahati mbaya imetokea asubuhi ya leo saa 11 kasoro, alikuwa na matatizo ya moyo, jana tulimkimbiza Hospitali lakini bahati mbaya imetokea, tupo katika hatua ya kuangalia namna gani tutafanya ili tuweze kumpumzisha mama yetu" amesema Muta.

Marehemu alikuwa kiongozi wa kiroho, mmiliki wa Shule za St. Mary's na pia mwanasiasa.

Mwaka 2007, Mama Rwakatare aliingia kwenye siasa rasmi baada ya kuteuliwa kushika nafasi ya Marehemu Salome Mbatia aliyekufa kwa ajali. Soma Mchungaji Getrude Rwakatare amrithi marehemu Salome Mbatia - JamiiForums

Aidha, Mwaka 2017 aliteuliwa tena kuwa Mbunge wa Viti Maalum akichukua nafasi ya Sophia Simba. Soma Dr. Getrude Rwakatare ateuliwa kuwa Mbunge wa Viti Maalum nafasi ya Sofia Simba - JamiiForums

Matukio mengine:

Mwaka 2012, Mama Rwakatare aliichongea JF Bungeni. Soma Mama Lwakatare aichongea JamiiForums

Mwaka 2013, Mama Rwakatare alifiwa na Mumewe, Mzee Kennedy Rwakatare. Soma TANZIA: Mch. Getrude Rwakatare amefiwa na mumewe

=============

Tutakukumbuka kwa mchango wako kwenye nyanja za elimu na jamii kwa ujumla.

Umepigana vita na mwendo umeumaliza

Upumzike kwa amani!!


RAIS MAGUFULI ATUMA SALAMU ZA RAMBIRAMBI
View attachment 1424530

TAARIFA YA BUNGE
View attachment 1424553






WASIFU WA MAMA RWAKATARE

0.33440300 1494232974.png


Hon. Rev. Dr. Getrude Pangalile Rwakatare

Phone : +255679997051

P.O Box : P. O. Box 8844, Dar es Salaam

Email Address : g.rwakatare@bunge.go.tz

Date of Birth : 1950-12-31

Education History :

School Name/LocationCourse/Degree/AwardFromToLevel
Mood Bible Institute , Chicago, USABachelor of Arts in Theology (Mass Com.)19841988Bachelor Degree
North London PolytechnicDiploma in P/M19741975Diploma
Railways' CollegeCertificate19711972Certificate
Korogwe Girls Secondary SchoolCSEE19651968Secondary School
Ifakara Girls Primary SchoolCPEE19611964Primary School
Mbingu Primary School-19571960Primary School


Employment History :
Company/InstitutionPositionFromTo
Tanzania Harbours AuthorityPersonnel Manager19701983
Pan African Christian Women AssemblyChairperson19891993
Mountain of Fire Assemblies of GodPastor19952017
St. Mary's International SchoolsDirector19962017
St. Mary's Teachers CollegeDirector20032017
Mountain of Fire Assemblies of GodPresenter20042017

Political Experience :

Political PartyPositionFromTo
Parliament of TanzaniaMember of Parliament20172020
Parliament of TanzaniaMember of Parliament20072010
Parliament of TanzaniaMember of Parliament20102015
Chama cha MapinduziGuardian to the District Women Wing20052005
Community Development Committee of the ParliamentMember20072010
Social Services Committee of the ParliamentMember20102015
Upumzike kwa amani mama, na Mungu akusamehe Dhambi zako ,Hatimaye Covid -19 imekuchukua, wala siyo presha Kama wanavyodanganya,Presha haijakuua miaka yote, ije ikuue kwenye janga la Corona wakati masharti yote ya Presha uliyazingatia.
Serikali kuweni wazi.


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Zaburi 90: 1 -12, Maombi ya Musa mtu wa Mungu.
Wewe, Bwana, umekuwa makao yetu, Kizazi baada ya kizazi. Kabla haijazaliwa milima, wala hujaiumba dunia,
Na tangu milele hata milele ndiwe Mungu. Wamrudisha mtu mavumbini, usemapo, Rudini, enyi wanadamu. Maana miaka elfu machoni pako Ni kama siku ya jana ikiisha kupita, Na kama kesha la usiku.

Wawagharikisha, huwa kama usingizi, Asubuhi huwa kama majani yameayo. Asubuhi yachipuka na kumea,
Jioni yakatika na kukauka. Maana tumetoweshwa kwa hasira yako, Na kwa ghadhabu yako tumefadhaishwa.

Umeyaweka maovu yetu mbele zako, Siri zetu katika mwanga wa uso wako. Maana siku zetu zote zimepita katika hasira yako, Tumetowesha miaka yetu kama kite. Siku za miaka yetu ni miaka sabini, Na ikiwa tuna nguvu miaka themanini; Na kiburi chake ni taabu na ubatili, Maana chapita upesi tukatokomea mara.

Ni nani aujuaye uweza wa hasira yako? Na ghadhabu yako kama ipasavyo kicho chako? Basi, utujulishe kuzihesabu siku zetu, Tujipatie moyo wa hekima.

Coment:
Tuyatumie maisha haya mafupi kwa hekima. Hekima kuu ni kujiandalia utakapoishi milele. Bwana Yesu akawafariji wafiwa wote na washirika wote. BWANA akawaangalie watu wake na kuwafunika. Ametangulia katika njia yetu sote. Kwa wakati wetu tutaitika. BWANA utupe hekima ya kuzihesabu siku zetu!
 
Back
Top Bottom